Kwa hiyo angepiga nao picha matokeo ya mwaka ujao yangependeza? Mi nafikri njia nzuri angeongea na kwa lengo la kujua chanzo cha kufeli hivyo watoto wale. Pengine baadhi ya sababu ni coordination ya shule haiko vizuri( walimu hawaunganishwi kiutendaji), watoto kupenda starehe badala ya kubukua...
Tupingeni hili kwa nguvu zote. Kwa nn watushikie bango sie wenyenewe tu? Kazi ya kutoa huduma za jamii ni jukumu la serikali maana ndo inayokusanya kodi. Kwa maana hiyo, income tax tunayokatwa kwenye malipo ni ya kazi gani sasa. Ushauri, warudishe kodi ya kichwa kwa kila mwananchi na sisi...
KWANI HAO WATUMISHI WANATEKELEZA ILANI YA NANI? NA JE, HAKUNA CHAMA KINACHOSIMAMIA UTEKELEZAJI WA ILANI YAKE MPAKA HAO WATU WAITWE WASABABISHA UMASIKINI? Mi najua unapokuwa unaalima kwa kutumia ng'ombe yaani maksai ambao ndo kama watumishi, kunakuwepo na watu wanaosimamia hao makisai ili ulimaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.