Airtel wapandisha vifurushi vya OMG

Airtel wapandisha vifurushi vya OMG

Airtel kwenye simu siwezi kutumia, kwasabu ya overheating effect.

Nime experience toka nipo Symbian mpaka leo hii Android.


Hili ni tatizo, simcard za airtel zinahitaji excessive control over device hardware.
 
mimi naadhani sasa serikali hembu iwe wazi kwetu wananchi juu ya haya makampuni ya simu,maana tuliambiwa kwamba serikali inagharimia mkongo wa taifa baada ya hapo gharama za simu na internet zitashuka kwa watumiaji,

chakushangaza sasa imekua kama ni mchezo wa kuigiza makampuni tayari yanatumia mkongo wa taifa,lakini gharama ndio zinazidi kuongezwa siku hadi siku sasa tutaachaje kuohoji kwamba ni wakati wa kukusanya fedha za kampeni?

hembu serikali itoe majibu kuliko kusikia sikia mitaani habari zisizo rasmi kwamba kuna kitu nyuma ya panzia?
 
Siku hizi wameweka internet ya bure et kuanzia saa 12 asb hadi saa 2 asb,na tigo nao hivyohivyo.

Wanajua muda huo watu tuko kwenye movements....hata muda wa kutumia INTERNET hamna! Kweli hamna FREE Lunch!!!
 
Hadi yatosha ya voucher nayo imepandishwa, toka dakika 30 na 300mb, na sasa ni dakika 24 na 10mb kwa sh 1000
 

Attachments

  • 1429982282939.jpg
    1429982282939.jpg
    7.7 KB · Views: 114
Kwa ninavojua na nipo kwenye telecommunication industry izi bundle ni offer inayotolewa kwa wateja so TCRA wanaregulate bei nje ya ivyo vifurushi kama kb mija ni 0.2 au sec ni 4.1 hapo kampuni ikipandisha izo bei ndio kuna tatizo!

Maana halisi ya offer ni nini? Maana offer zimekuwa na bei kuliko huduma halisi sasa...
Naomba tafsiri ya offer ..
Sorry kwa usumbufu
 
Hivi makampuni ya simu huwa hakuna taasisi inayohusika kudhibiti bei za Huduma zao?..Ingekuwa daladala ikaongezwa hata sh 50 kwenye bei ya zamani sidhani kama lingekubalika kirahisi. Hawa watu wanajinufaisha wanavyotaka bila kujali consumer anaumia kiasi gani. Anyway tutanunua tu but kupandisha bei ya kitu kwa 50% sio fair.

mkuu pole sana, kinachoendelea no siasa maccm eanajiandaa na uvhaguzi mkuu na wanajua social media ilivyo na impact, sasa wanabana ili watu wssitumie kuleta ukombozi na kuhabarisha, ila wasilo lijua in kuwa wanatengeneza chuki dhidi ya ccm na hakika kitakacho wapata watashaa,

hili kinaenda pamoja ile sheria ys cyber.
 
mkuu pole sana, kinachoendelea no siasa maccm eanajiandaa na uvhaguzi mkuu na wanajua social media ilivyo na impact, sasa wanabana ili watu wssitumie kuleta ukombozi na kuhabarisha, ila wasilo lijua in kuwa wanatengeneza chuki dhidi ya ccm na hakika kitakacho wapata watashaa,

hili kinaenda pamoja ile sheria ys cyber.

Kibanga umehamsha hasira zangu juu ya hayo majitu..
Leo ukawa walikuwa huku bukoba nilipo ..Mr. Mbowe alisoma ihungo sec sasa si akataku kwenda kutembelea shule yake... Mkuu wa shule kamuwekea ngumu eti mpaka apate kibali toka kwa mkurugenzi..kwa maneno yake mbowe amesema. Nimesikia hasira utadhani ni Mimi nimezuiwa..istoshe jamaa anasema alitaka japo achangie mifuko ya cement kwa ukarabati wa shule hiyo ambayo imechoka..ila mfumo wa Maccm loooo!!!
 
Back
Top Bottom