Waziri akataa picha ya pamoja na waalimu

Waziri akataa picha ya pamoja na waalimu

kwa hvo anafkiri kwa kususa kupiga nao picha ndo watafundisha sana ili mwaka ujao apige nao picha. kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi. walimu twendeni tu, pole pole watatuelewa
 
Hiyu mama ana stress, na bado utagoma hadi kula lile jimbo ndo bai bai....mxiuuuuuu.
 
Uwiano haufanywi kwa kuangalia idadi ya vyumba vya madarasa, kinachoangaliwa ni idadi ya wanafunzi na walimu. kufundisha ni zaidi ya kuingia darasani kuna kusahihisha madaftari, kuandaa lesson plan pamoja na kuandaa lesson notes hvyo hayo yote anafanya mwl ili kufanikisha lengo mahsusi.
Huyo Ghasia apeleke sura yake hukoooooooo!!!
kama ni picha walimu watapiga hata na pinda au wassira.
 
Hv anafkr acpopiga picha na walimu ndo anawakomoa?pia ghasia ana mtazamo has kuwa ufaulu unaongezeka walimu wakiwa n weng,huku akisahau juhud za wnfnz wenyewe.yaan pcha 2 unarnga!!hata kama umekataa watapga na kingunge ngombale mwiru.ha ha ha ha ....
 
Hahahaaaaa kweli huyu waziri ni mzigo! Tena mzito hasa
 
It's saddening kuwa Waziri anatumia vitisho vya kitoto akitegemea mabadiliko, anashindwa kwenda chini na kutatua tatizo anasiliba kwa juu na kususa kupiga picha, ama kweli Watanzania tuomba ili wingu jeusi liondoke

kabisa mkuu!
 
ndugu waalimu wengi cku iz wa o level wana degree na take home ni 500,000+ huo ndio ukweli. kwa idadi hiyo ya walimu, naunga mkono uamuzi wa waziri.
 
mi nadhani angepiga nao kama ukumbusho wa kuwa na walimu 68 waliofelisha zaidi. Huyu ghasia ni mzigo km yeye shujaa mwambie akaombe kupiga picha ya pamoja na wananchi wa mtwara kama na yeye hawajamkimbia.

Kwanza kachezea bahati maana mwakani harudi mjengoni. Waziri mzigo huyu sasa anategemea walimu wataongeza juhudi ili awamu ijayo apige nao picha. Aache watapiga hata na ghalib bilali na le mutuz.
 
nyie vipi? matrafik wamejaa barabarani simkapige nao picha! au mumwambie Le Muntus aje kupiga picha.
 
ndugu waalimu wengi cku
iz wa o level wana degree na take home ni 500,000+ huo ndio ukweli. kwa
idadi hiyo ya walimu, naunga mkono uamuzi wa waziri.

hawana maana hata kidogo kinana kasema akiwa rais watakuwa wanapewa ajira za mkataba watoto wakifeli nawewe kibarua huna, sio lazima ufundishe kazi za kufanya ziko nyingi tu.
 
Waweza kuwa na walimu wa kutosha,maabara za kutosha.....lakini mwalimu akatimiza kila kitu kumwezesha mwanafunzi kujifunza...lakini swali hoja inakuja wanafunzi wapo tayari"mentally" kijifunza(kusoma)...kumbuka wanafunzi wengi wa TZ ni wahudhuriaji darasani na si wasomaji....mwalimu hawezi ingia kwenye kichwa cha mwanafunzi akamsaidia kujibu mtihani....Watanzania wengi hawajui kuwa mchango wa mwalimu kwa mwanafunzi ni 25% tu...75% zilizobaki ni yeye na mazingira rafiki ya kujifunzia.....kuwalazimisha walimu wafaulishe ni kuchochea wizi wa mitihani.....
 
Kwa hiyo angepiga nao picha matokeo ya mwaka ujao yangependeza? Mi nafikri njia nzuri angeongea na kwa lengo la kujua chanzo cha kufeli hivyo watoto wale. Pengine baadhi ya sababu ni coordination ya shule haiko vizuri( walimu hawaunganishwi kiutendaji), watoto kupenda starehe badala ya kubukua, madeni kwa walimu .....,......
 
hawana maana hata kidogo kinana kasema akiwa rais watakuwa wanapewa ajira za mkataba watoto wakifeli nawewe kibarua huna, sio lazima ufundishe kazi za kufanya ziko nyingi tu.

Unamuamini Kinana?
 
Back
Top Bottom