Mm binafsi kumwambia mtu sikupendi siwezi bora nimzungushee weee akituma text leo najibu mtondo goo hadi ajiongezee ila kumwambia neno sikutaki siwezi kabisa maana hilo neno hata mm nikitamkiwa lazima nipate ganzi namkojo unitoke
Ulitaka ufikishe ujumbe mzuri sana ila tatizo ni kua eitha huna ilmu ya kutosha juu ya hilo au labda wakati unaandika ulikua unakimbizwa maana hakuna dalili hapo na wala maandiko yako haya eleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawa mashekh hizi fatwa zao huwaga wanatoa kupitia kwenye aya gani ya Quran au hadith za mtume mbona wanakuja kuzushazusha mambo yasio eleweka....ndugu zangu waislam tusome dini ili tuweze kufuata maamrisho yake kupitia Quran na hadith za mtume SWA.....sio kuendekeza bidaa tu.
Sent using...
Tatizo la Mbeya mji umekaa shagala bagala haueleweki mipango miji sijui wanafanya shughuli gani ukitoa miji ya zamani sokomatola,majengo ,uzunguni na jacaranda hizi sehemu nyingine ni takataka tu mipango miji kazi yao kula mahindi ya kuchoma hakuna wanachofanya Mbeya ni kijiji kikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.