Recent content by Bunara

  1. B

    Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

    Great Mind discuss Issues, poor mind discuss people! siku zote ukikaa unajadili watu badala ya kujadili hoja unachemka vibaya, ndiyo tu kilicho mponza dr.Mwakye.
  2. B

    Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

    Soda zina madhara saana jamani ingawa level ya madhara pia zinaweza kutofautiana, zile zenye cola zina cafein ambayo ina madhara makubwa, pia nilikuwa uholanzi juzi wanashangaa kwa nini kwetu tumeruhusu Mountain Dew wakati kwao imepigwa marufuku in element ya sumu ambayo ina madhara makubwa...
  3. B

    Msaada: Nataka kuagiza gari toka japani trade car view

    Ndugu trade car view hawauzi magari ila, wanakutanisha makampuni mbali mbali yanayo uza magari, gari uliyoiona utaona iko kwenye kampuni fulan hiyo ndo utadili nayo. Vitu vya kuangalia: Kwanza: kuna rating za customers ambao wameshawah nunua gari katika kila kampuni ukichagua hiyo gari utaziona...
  4. B

    Shemeji yangu huyu ananitega!

    Come to your sense Brother, you are the Father, you about to get lost!
  5. B

    Ndoa yangu iko njia panda, nifanyeje?

    Ndugu yangu mimi kwa akili ndogo nilizo nazo nadhani chanzo kikubwa cha matatizo na mke wako ni wewe mwenyewe ingawa hujawa muwazi saana, ninavyojua ni vigumu saana kujaribu kumbadirisha mwenzio kabla ya wewe kubadirika! ni rahisi kwa kufanya mabadiriko kwako mwenyewe kuliko kwa mtu mwingine...
  6. B

    Kiswahili kinaliangamiza taifa

    ndugu yangu unayo yasema huyajui, hata huko nje ya nchi uliko sijui ni wapi! mimi kwa sasa niko uholanzi, hawa jamaa ni kidachi kwa kwenda mbele, kingereza kinatumika mara chache saana katika sehem maalum zinazo husisha watu wa mataifa mengine, shule zote ni kidachi, wanashangaa kwa nini sisi...
Back
Top Bottom