Naogopa mana baba yangu mdogo nilimuona amejiua 2000 kwa kujinyonga.Na huenda alikaa na matatizo yake bila kumwambia mtu.Sioni aibu kuweka shida yangu kwa waelewa.
Unaweza ukasema unachukua maamuzi yakawa mengine.Pia kumbuka mimi nipo Halmashauri nyingine kikazi hatukai nyumba moja mkuu.Nilikua naenda weekend nikaona nisitishe kutokana na vurugu zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.