Recent content by bumboshabani

  1. B

    MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

    Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Frauuni
  2. B

    Kwa hii kashfa, Mchungaji Anthony Lusekelo (Mzee wa Upako) atajisafishaje?

    Ndio maana tunasema hakuna aliyekamilika katika hii DUNIA binaadamu atabaki kuwa binaadamu tu na mapungufu yake na Allah/Mungu atabaki kuwa Mungu tu.
  3. B

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tuwe na subra safari bado ni ndefu kikubwa ni uzima na uhai.
  4. B

    Hakika Rais Magufuli ni kiboko yao, hebu jikumbushe hili

    Sio la sukari mambo mengi tu wanajaribu kumyumbisha lkn hili buldozer yupo makini sana tunamuamini awezi kugeuka nyuma ili awe jiwe ewe Allah mpe maisha marefu kiongozi wetu tunaamini tutafika tunapokwenda Inshallah.
  5. B

    Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma yaongoza kwa mapenzi ya jinsia moja

    Hii ni hatari sana kwa watoto wetu tujitahidi kuwakemea juu ya hili
  6. B

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    Mm naona tuache malumbano tuingalie katiba ya chama inasema nini kama tukiisoma na kuilewa hakuna sababu ya kulumbana ila kama tunampango wa kuibadili katika Kwa ajili ya uwenyekiti hapo ndipo tutaleta shida katika chama nafikiri timeshaona madhara ya kubadili katiba,mfano tunaona madhara ya...
  7. B

    Anataka tuachane, nifanyeje?

    Kashapata mwengine bora mpe nafasi ni heri amekuambiwa kuliko kukudanganya wakati kakuchoka.
  8. B

    Mamia kupigwa picha za utupu Uingereza

    Jamani hizi tamaduni zingine tuziangalie na athari zake kwani Dunia ss ipo kiutandawazi kwani zamani watu wazima wakiwa watupu kulikua hakuna shida hawakujua kinachoendelea na hata walijua lkn walikua wanafanya kwa nidhamu ya hali ya juu sana enzi zile.
  9. B

    TCRA, Startimes wamewazidi nguvu au mna maslahi nao?

    Nikweli kabisa unachosema lazima itangazie umma kama kuna mabadiliko, halafu wakati tunanunua tuliambiwa bei tofauti kutokana na matumizi vilikua vya ofa na visivyo vya ofa. Walisema kuwa vile havina ofa bei juu lkn ukinunua utakua ulipii zele chanel za ndani na vya ofa itabidi ulipie ikiisha...
Back
Top Bottom