Recent content by BumbleBeeBot

  1. BumbleBeeBot

    KERO Nimefanya kazi Kampuni ya Wachina kwa miaka 10 bila mkataba, wameniondoa kazini bila kosa lolote, nafanyaje kupata stahiki zangu?

    Mi nilishafanya nao kazi kaka, watu wamejenga na wana gari na maisha mazuri tuu kwa wachina. Tena bila hata kuwa na profession.
  2. BumbleBeeBot

    KERO Nimefanya kazi Kampuni ya Wachina kwa miaka 10 bila mkataba, wameniondoa kazini bila kosa lolote, nafanyaje kupata stahiki zangu?

    Kuna msela alifanya kazi sehemu flani miezi mi3 ya mwanzo wakamwambia ni ya uangalizi baada ya muda huo tutakupa mkataba kama utafaa. Imepita miezi mi3 wakakaa kimya jamaa kila akidai mkataba wanamwambia tutakupa, baada kama mwaka wakamtimua jamaa, sijui alifuata utaratibu gani ila aliwapeleka...
  3. BumbleBeeBot

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kuna washkaji nawafahamu maskuli huko ilikuwa ni mindumu tu na walikuwa wapo vzr upstairs. Kuna mchiz mwengne wa ukubwani anapiga bangi anaongea sense akivuta ila ni mbovu kinoma kwenye kumbukumbu.
  4. BumbleBeeBot

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Wanaume wengi tukikaa na wanawake ndani tunawazoea tunawaona wa kawaida alafu jamaa la nje linaona mke wako ni mali.
  5. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Nimeandika nimeishi Dar, Kibaha na sasa nipo Mbeya. Au mulitaka niandike Dar na Kibaha Na Mbeya?
  6. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Alisoma kwa wenge huyo mi sikuandika Kibaha ni Dar😄
  7. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Hawataki kukubali😂
  8. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Ni hatari mzee, wadada wa ilomba jau kinoma noma.
  9. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Sio kwamba mi nipo ila napendaga kuangalia simu tu ya mtu, ile kutupia tupia jicho nini kinaendelea. Tabia ya mtu siku hizi ipo kwenye simu aisee.
  10. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Haya mambo hayakwepeki mkuu
  11. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Now nimeabstain, niko na dry spell kama ya miez mi 3, maana ilikuwa kila nikikutana na mwanamke ni kujitoboa toboa tuu. Mi kama vipi naachana bhana na wanawake wa huku, wananiboa kinyama. Toka nije huku sijabahatika kupata mwanamke wa pekeangu yaani, ni full kamba.
  12. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Wadada wengi kibaha Tinder hawaijui wala badoo, kuna dizain unauona utofauti. Kuna sehemu wanajulikana tu wadada mapepe huku sio rahis kujua ukiwa unapishana nao hayo maeneo niliyotaja, yaani now nikiwa kabwe jioni wadada wote pale hakuna ninaemuamini
Back
Top Bottom