Kuna msela alifanya kazi sehemu flani miezi mi3 ya mwanzo wakamwambia ni ya uangalizi baada ya muda huo tutakupa mkataba kama utafaa. Imepita miezi mi3 wakakaa kimya jamaa kila akidai mkataba wanamwambia tutakupa, baada kama mwaka wakamtimua jamaa, sijui alifuata utaratibu gani ila aliwapeleka...
Kuna washkaji nawafahamu maskuli huko ilikuwa ni mindumu tu na walikuwa wapo vzr upstairs.
Kuna mchiz mwengne wa ukubwani anapiga bangi anaongea sense akivuta ila ni mbovu kinoma kwenye kumbukumbu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.