Kuna mwanamke nilimpenda ila akaniambia hiyo ilikuwa Fantasy yake, nikauliza bado unafikiria hiyo akajibu "i don't know" nikaanza taratibu kumtoa kichwani kwangu.
Ukiipata hii unakimbilia hospital mwenyewe tuu, unahis mkojo muda wote, ukikojoa hata tone tuu pipe inauma alafu unavuja usaha muda wote. Kuna nini tena hapo
Kuna jamaa yangu kamaliza Six toka 2015, hakukidhi vigezo vya kwenda MD ha hakutaka aanzie diploma. Mchizi alihustle, piga sana private candidate, badili sana majina kwenye vyeti. Finally anagraduate mwaka huu.
Habari, katika siku za hivi karibuni baada ya NMB kutangaza kuwa wanafanya maboresho ya mifumo yao, nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wateja kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.
Mimi pia nimekumbana na changamoto. Nilinunua muda wa maongezi kupitia NMB, lakini haukuingia kwenye namba...
Mi tulibishana bado kidogo nimwambie ubatizo wenyewe sitisheni tuu, kuna mtu pembeni eti ananiambia usibishane na mtu wa Mungu hapo haongei yeye, hiyo ni sauti ya Mungu kupitia yeye. Nikasikitika tuu.
Nilienda kubatiza mtoto padri anakataa jina nililoandika, anampachika jina lingine eti nimekosea spelling. Jina ambalo ukibadili herufi tu hata kulitamka ni lingine kabisa ila yanaendana. Aliniudhi kinoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.