Recent content by BumbleBeeBot

  1. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Ujue msamiati "One night stand" maana yake, pamoja na sifa zake, na matukio yake

    Kuna mwanamke nilimpenda ila akaniambia hiyo ilikuwa Fantasy yake, nikauliza bado unafikiria hiyo akajibu "i don't know" nikaanza taratibu kumtoa kichwani kwangu.
  2. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnitakie heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu

    Happy birthday Olivia
  3. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Wayback: Gono ni hatari sana

    Ukiipata hii unakimbilia hospital mwenyewe tuu, unahis mkojo muda wote, ukikojoa hata tone tuu pipe inauma alafu unavuja usaha muda wote. Kuna nini tena hapo
  4. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Mdogo wangu amesoma Diploma of Clinical Medicine akapata GPA 2.7, afanyeje kuendelea na masomo bila kurudi nyuma?

    Kuna jamaa yangu kamaliza Six toka 2015, hakukidhi vigezo vya kwenda MD ha hakutaka aanzie diploma. Mchizi alihustle, piga sana private candidate, badili sana majina kwenye vyeti. Finally anagraduate mwaka huu.
  5. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania KERO NMB inasumbua kwenye miamala, wanashikilia pesa bila taarifa yoyote. Nimefuatilia pesa yangu wiki ya pili hawajarudisha

    Habari, katika siku za hivi karibuni baada ya NMB kutangaza kuwa wanafanya maboresho ya mifumo yao, nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wateja kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii. Mimi pia nimekumbana na changamoto. Nilinunua muda wa maongezi kupitia NMB, lakini haukuingia kwenye namba...
  6. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    We unaona kidogo? Birth certificate na kila sehemu yake inasoma jina flani, alafu padri anabadili kirahisi tuu eti huyu tumwite jina flani.
  7. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Mi tulibishana bado kidogo nimwambie ubatizo wenyewe sitisheni tuu, kuna mtu pembeni eti ananiambia usibishane na mtu wa Mungu hapo haongei yeye, hiyo ni sauti ya Mungu kupitia yeye. Nikasikitika tuu.
  8. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Nilienda kubatiza mtoto padri anakataa jina nililoandika, anampachika jina lingine eti nimekosea spelling. Jina ambalo ukibadili herufi tu hata kulitamka ni lingine kabisa ila yanaendana. Aliniudhi kinoma
  9. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali...

    Wish you good!
  10. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Zambia: Mpinzani wa Hichilema ashikiliwa kwa tuhuma za uhaini

    Hii inaitwa Follow my lead😃
  11. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Yaani najiulizaga hivi hawajiskiagi vibaya au ile kuhisi guilty kwa jambo mnafanya unajua kabisa nafanya/nimefanya kosa.
  12. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Wanaume wengi tumeumizwa na single mothers, ndiomaana vita zao ni ngumu kuwatetea

    Oya hii vita single mother hawatoboi😅
  13. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Wanaume wengi tumeumizwa na single mothers, ndiomaana vita zao ni ngumu kuwatetea

    Mkuu single mother wanapewa sifa mbaya nyingi ila naona kasoro yao kubwa ni mawasiliano na mzazi mwenzake basi.
Back
Top Bottom