Recent content by BumbleBeeBot

  1. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Kuna siku na mimi nilihaha, kutoa pesa inasema sina salio, kuchek salio inasema huduma haijakamilika. Kuingiza kadi ikagomea huduma nikatoka nje kuchek salio kwenye app lipo,nikasubiri dk chache ndio ikakubali.
  2. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Wengi wanajua ila hawapendelei kuitumia, mfano mimi. Kwanza muda mwingine hazisomi.
  3. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Kweli bado Nina safari pande hizo😀😄
  4. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Duh.. najuaga miso ndio mwisho hakuna wa juu
  5. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Tangu uzaliwe ulishawahi sikia au kuona ripoti ikisomwa, kuonyesha sababu ya kifo cha mtu flani ni UKIMWI?

    Hakuna mtu anakufa na UKIMWI, magonjwa nyemelezi ndio yanakuua. Uutaskia kafa kwa fangasi kichwani tu, kafa kwa typhoid.
  6. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Ingekuwa hivyo ni angemkimbia pale alipoanza kuumwa. Lakini jamaa alistick na mwanamke kimya kimya alipoisha kabisa ndio akaanza kuomba michango mpaka mwanamke anakaa sawa jamaa bado yupo nae tuu. Hivi parasite anakaa kwa unfavorable conditions?
  7. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Mabeste alikuwa anapambana kuomba misaada kwajili ya huyo mwanamke. Alichoka ubishoo wote uliisha kumuuguza. Mi mwenyewe nilijiskiaga vibaya huyo mwanamke kumfanyia vile mabeste.
  8. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kero: Messages za mikopo kutoka taasisi za mikopo

    Na kweli wanauza, mi Kuna mmoja aliniambia namba 100 wananunua kwa buku 10.
  9. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Nilishawahi kufikiria kuhusu kupigwa ila sio kwamba wanaoweka ni wazembe na wavivu.
  10. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Sendozi za mtumba za kiume nzuri na imara

    Kwa Bei zako sio mbaya!
  11. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Chuo Cha udsm kimenundikia hivi je kimenikataa au niendelee kusubili

    Uhakika Wa nini hapo wakati maelezo yamejitosheleza😅
  12. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Chuo Cha udsm kimenundikia hivi je kimenikataa au niendelee kusubili

    Msomi mzima kabisa huelewi hapo wamemaanisha nini, Aisee.
  13. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Crush wako Jukwaani: Si Lazima wa Kimapenzi! 👀

    Labda... Seran
  14. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Ninapo ota ndoto nyevu huniletea maumivu baada ya kuchafuka

    Usizunguke zunguke bhana utakosa msaada😃
Back
Top Bottom