Recent content by BumbleBeeBot

  1. BumbleBeeBot

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Wanaume wengi tukikaa na wanawake ndani tunawazoea tunawaona wa kawaida alafu jamaa la nje linaona mke wako ni mali.
  2. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Nimeandika nimeishi Dar, Kibaha na sasa nipo Mbeya. Au mulitaka niandike Dar na Kibaha Na Mbeya?
  3. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Alisoma kwa wenge huyo mi sikuandika Kibaha ni Dar😄
  4. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Hawataki kukubali😂
  5. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Ni hatari mzee, wadada wa ilomba jau kinoma noma.
  6. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Sio kwamba mi nipo ila napendaga kuangalia simu tu ya mtu, ile kutupia tupia jicho nini kinaendelea. Tabia ya mtu siku hizi ipo kwenye simu aisee.
  7. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Haya mambo hayakwepeki mkuu
  8. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Ah kwakweli
  9. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Now nimeabstain, niko na dry spell kama ya miez mi 3, maana ilikuwa kila nikikutana na mwanamke ni kujitoboa toboa tuu. Mi kama vipi naachana bhana na wanawake wa huku, wananiboa kinyama. Toka nije huku sijabahatika kupata mwanamke wa pekeangu yaani, ni full kamba.
  10. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Wadada wengi kibaha Tinder hawaijui wala badoo, kuna dizain unauona utofauti. Kuna sehemu wanajulikana tu wadada mapepe huku sio rahis kujua ukiwa unapishana nao hayo maeneo niliyotaja, yaani now nikiwa kabwe jioni wadada wote pale hakuna ninaemuamini
  11. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Ka mkubwa, now nasema kutongoza ni wale wadada wa kule uhindini na mitaa ya mbaliz road wa maofisini wanaonekana wamestaaribika, au nako wale wale?. Ishu nikiwa na mwanamke nataka niichakate pekeangu
  12. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Kama ina ukweli hivii
  13. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Wa huku wana disappoint sana, huwadhanii. Mi mwanangu sipend mwanamke muuzaji au la kupigwa na kila mtu kulaleki. Wananikera hawa wadada.
  14. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Mkuu ni kweli hawa madada wa town wengi majambazi, unaweza ona binti yuko smart, innocence face ukasema umepata. Kumbe...
  15. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Nimejitahidi, now siko interested nao kabisa. Niko ile natongoza mwanamke alafu akikubali nampotezea tuu.
Back
Top Bottom