Kuna msela alifanya kazi sehemu flani miezi mi3 ya mwanzo wakamwambia ni ya uangalizi baada ya muda huo tutakupa mkataba kama utafaa. Imepita miezi mi3 wakakaa kimya jamaa kila akidai mkataba wanamwambia tutakupa, baada kama mwaka wakamtimua jamaa, sijui alifuata utaratibu gani ila aliwapeleka...
Kuna washkaji nawafahamu maskuli huko ilikuwa ni mindumu tu na walikuwa wapo vzr upstairs.
Kuna mchiz mwengne wa ukubwani anapiga bangi anaongea sense akivuta ila ni mbovu kinoma kwenye kumbukumbu.
Now nimeabstain, niko na dry spell kama ya miez mi 3, maana ilikuwa kila nikikutana na mwanamke ni kujitoboa toboa tuu. Mi kama vipi naachana bhana na wanawake wa huku, wananiboa kinyama. Toka nije huku sijabahatika kupata mwanamke wa pekeangu yaani, ni full kamba.
Wadada wengi kibaha Tinder hawaijui wala badoo, kuna dizain unauona utofauti. Kuna sehemu wanajulikana tu wadada mapepe huku sio rahis kujua ukiwa unapishana nao hayo maeneo niliyotaja, yaani now nikiwa kabwe jioni wadada wote pale hakuna ninaemuamini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.