Kuna siku na mimi nilihaha, kutoa pesa inasema sina salio, kuchek salio inasema huduma haijakamilika. Kuingiza kadi ikagomea huduma nikatoka nje kuchek salio kwenye app lipo,nikasubiri dk chache ndio ikakubali.
Ingekuwa hivyo ni angemkimbia pale alipoanza kuumwa. Lakini jamaa alistick na mwanamke kimya kimya alipoisha kabisa ndio akaanza kuomba michango mpaka mwanamke anakaa sawa jamaa bado yupo nae tuu. Hivi parasite anakaa kwa unfavorable conditions?
Mabeste alikuwa anapambana kuomba misaada kwajili ya huyo mwanamke. Alichoka ubishoo wote uliisha kumuuguza. Mi mwenyewe nilijiskiaga vibaya huyo mwanamke kumfanyia vile mabeste.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.