Recent content by BumbleBeeBot

  1. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Hahaha Seran, dharau hizo ujue.
  2. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Tutampoteza aisee
  3. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Wanaume tulivyojaa hivi kweli unataka utumie mazaga hayo?
  4. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Weee... Usifike huko aisee
  5. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Nilishasemaga situmii bed sofa iwe Nina Hela au Sina. Sijawahi vipenda hivyo vitanda.
  6. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Mi mwenyewe sofa bed hapana aisee.
  7. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke mwenye hasira kali na mrahisi wa kuzila na kufoka?

    Piga chini
  8. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania KERO Nimefanya kazi Kampuni ya Wachina kwa miaka 10 bila mkataba, wameniondoa kazini bila kosa lolote, nafanyaje kupata stahiki zangu?

    Mi nilishafanya nao kazi kaka, watu wamejenga na wana gari na maisha mazuri tuu kwa wachina. Tena bila hata kuwa na profession.
  9. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania KERO Nimefanya kazi Kampuni ya Wachina kwa miaka 10 bila mkataba, wameniondoa kazini bila kosa lolote, nafanyaje kupata stahiki zangu?

    Kuna msela alifanya kazi sehemu flani miezi mi3 ya mwanzo wakamwambia ni ya uangalizi baada ya muda huo tutakupa mkataba kama utafaa. Imepita miezi mi3 wakakaa kimya jamaa kila akidai mkataba wanamwambia tutakupa, baada kama mwaka wakamtimua jamaa, sijui alifuata utaratibu gani ila aliwapeleka...
  10. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kuna washkaji nawafahamu maskuli huko ilikuwa ni mindumu tu na walikuwa wapo vzr upstairs. Kuna mchiz mwengne wa ukubwani anapiga bangi anaongea sense akivuta ila ni mbovu kinoma kwenye kumbukumbu.
  11. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Mwanamke Hubeba DNA za Wanaume Wote Aliowahi Kulala Nao? Mtazamo wangu ni huu

    Vitu vyote vinatafsiriwa kwenye ubongo
  12. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Wanaume wengi tukikaa na wanawake ndani tunawazoea tunawaona wa kawaida alafu jamaa la nje linaona mke wako ni mali.
  13. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Nimeandika nimeishi Dar, Kibaha na sasa nipo Mbeya. Au mulitaka niandike Dar na Kibaha Na Mbeya?
  14. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Alisoma kwa wenge huyo mi sikuandika Kibaha ni Dar😄
Back
Top Bottom