Now nimeabstain, niko na dry spell kama ya miez mi 3, maana ilikuwa kila nikikutana na mwanamke ni kujitoboa toboa tuu. Mi kama vipi naachana bhana na wanawake wa huku, wananiboa kinyama. Toka nije huku sijabahatika kupata mwanamke wa pekeangu yaani, ni full kamba.
Wadada wengi kibaha Tinder hawaijui wala badoo, kuna dizain unauona utofauti. Kuna sehemu wanajulikana tu wadada mapepe huku sio rahis kujua ukiwa unapishana nao hayo maeneo niliyotaja, yaani now nikiwa kabwe jioni wadada wote pale hakuna ninaemuamini
Ka mkubwa, now nasema kutongoza ni wale wadada wa kule uhindini na mitaa ya mbaliz road wa maofisini wanaonekana wamestaaribika, au nako wale wale?. Ishu nikiwa na mwanamke nataka niichakate pekeangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.