Fununu😤

Fununu😤

Kuna fununu nimezisikia eti , kuna miamba , wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe , mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua šŸ¤”


Ikishatoka , kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .


Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja , ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.


Karibuni bia šŸ»šŸ»
Leo mbege imezidi bwashee
 
Kuna fununu nimezisikia eti, kuna miamba, wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe, mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua šŸ¤”

Ikishatoka, kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .

Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja, ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.

Karibuni bia šŸ»šŸ»
Wakinga, Wapemba, Waha na siku hizi Wachagga pia, dili hilo
 
Back
Top Bottom