Wabunge wanazungumza siasa tu badala ya maendeleo...siasa zimekuwepo tangu miaka ya 1960s bila mafanikio..sasa leo hii Rais anagundua makosa na ana nia thabiti ya kuyarekebisha bado mnampinga tu eti kwa sababu ni upinzani wanataka madini yaendelee kusafirishwa nje ya nchi...SPIKA WA BUNGE...
Yaan wewe ulietoa post hii inabidi kwanza ufikirie mara 2 mbili...we unadhani ktk kufanikisha juu ya hili TCRA wanakaa mbali? PCCB je? Sasa unafikiri watajuaje kama kuna hujuma inataka kufanyika na ni nani anataka aifanye hiyo hujuma.....kwa upande wa pili, wewe bado ni kilaza hujajua mchango wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.