Uko sahihi kabisa. Kwa style anayokwenda nayo Bashe upigaji utakuwa nje nje.
Hiyo mikopo ingetolewa kwa wakulima ambao tayari ni experienced kwa kuwa wanajua challenge halisi.
Hivi kwahiyo unamaanisha hakuna chochote ambacho Magharibi waliwekeza Russia? Kwa mfano tu unajua Airbus kaingia hasara kiasi gani kutokana na hizo sanctions???
Distance from Shanghai to Los Angeles ni miles 6400 almost 10400 km hivyo puto umbali wote huo USA hawakuliona mpaka limefika katikati ya nchi ndio wanahangaika nalo. Eti wanasuburi lifike kwenye eneo la Bahari???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.