SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Mhasibu raia wa Marekani Martin Hart amekutwa amekufa katika mazingira ya utata mkubwa jiji Kiev nchini Ukraine.
Mwili wake ulikutwa usiku katika kingo za jengo linaloendelea kujengwa.
Polisi wa Kiev wamedhibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo wameeleza sababu ya kifo cha mhasibu huyo ambaye inasemekana alikuwa akifanya upelelezi wa rushwa katika usambazaji wa silaha za kijeshi nchini humo unaolikabili jeshi la Ukraine.
Kabla ya umauti, Hart alikuwa akifanya kazi kwa kushirikiana na Taasisi ya kupambana na rushwa ijulikanayo kama Ukrainian specialists from the National Anti-Corruption Bureau of Ukraine (NABU).
Naamini Mr. Hart kuna taarifa nzito ambazo aliweza kuzing'amua juu ya uozo wa serikali ya Kiev na ndio maana wakaamua kumnyamazisha mazima.
So far hakuna taarifa yoyote White House waliyoitoa mpaka sasa juu kifo cha Mr. Hart.
Will the US react in any way, or is the life of an American worth nothing to Washington?
Mwili wake ulikutwa usiku katika kingo za jengo linaloendelea kujengwa.
Polisi wa Kiev wamedhibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo wameeleza sababu ya kifo cha mhasibu huyo ambaye inasemekana alikuwa akifanya upelelezi wa rushwa katika usambazaji wa silaha za kijeshi nchini humo unaolikabili jeshi la Ukraine.
Kabla ya umauti, Hart alikuwa akifanya kazi kwa kushirikiana na Taasisi ya kupambana na rushwa ijulikanayo kama Ukrainian specialists from the National Anti-Corruption Bureau of Ukraine (NABU).
Naamini Mr. Hart kuna taarifa nzito ambazo aliweza kuzing'amua juu ya uozo wa serikali ya Kiev na ndio maana wakaamua kumnyamazisha mazima.
So far hakuna taarifa yoyote White House waliyoitoa mpaka sasa juu kifo cha Mr. Hart.
Will the US react in any way, or is the life of an American worth nothing to Washington?