Recent content by buliba

  1. B

    Wanawake, kwanini huwa mnapambana kumtawala mwanaume kisha kumtenganisha na ndugu zake na rafiki zake?

    Ndugu, usiingilie mambo ya mtu na mkewe. Mwisho wa siku wewe ndio utaonekana mbaya. Kama rafiki yako haoni tatizo, tambaa. Miaka yote si umesavaivu bila kampani ya jamaa yako?
  2. B

    Ukweli kuhusu connection!

    https://www.jamiiforums.com/threads/jinsi-ya-kutengeneza-connection-za-kibiashara.1958888/
  3. B

    Dr. Slaa anasa Mawasiliano ya siri kuhusu utafiti uliofanywa na TWAWEZA

    Mawasiliano ya Siri??!!...My ass! Kwanini asiyaweke hadharani? Fabricators hehehe. Chadema mnalo 2015!
  4. B

    Jeshi la polisi kumkamata Dr. Slaa

    Sijawahi kuandamana hata siku moja, ila katika hili nitaingia barabarani
  5. B

    Ripoti ya ukaguzi ya CAG - 2009-2010

    Mkuu, unaweza kutuwekea na ripoti za Kiingereza hapa?
  6. B

    GE2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

    Anaandika kuwa katishiwa bastola na OCD. Kapigwa mabomu,mdogo wake ndie aliyemwokoa. This is OUR BELOVED TANZANIA,where power is sweeter than human dignity. Mcheki mwenyewe kaandika hapa: Zitto Kabwe | Facebook
  7. B

    GE2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

    Hata yeye katoa hii taarifa kwenye Twitter yake. Zitto Zuberi Kabwe (zittokabwe) on Twitter. Dunia nzima wanasoma huu uchafu
  8. B

    GE2010 Tamko la Dr.Slaa

    Zitto amepigwa na police Kigoma. Ameleeeza katika twitter yake hapa Zitto Zuberi Kabwe (zittokabwe) on Twitter
  9. B

    GE2010 Jamani mdee na Mnyika vipi

    Mwenye namba ya Mnyika aweke hapa tumtie moyo kijana wetu. Ila kwanini chadema wamekaa kimya mno?
  10. B

    GE2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Maskini Mnyika wanguuuuu. Wamempania kijana wetu....
  11. B

    GE2010 Mabomu ya machozi yarindima Kigoma

    Nasikia Temeke hapatoshi...mpaka watoto wameumizwa na mabomu ya machozi. Tarime nako kuna mtu kachinjwa. Jamani, CCM wanakaribisha vita. Kubalini mmeshindwa. Uroho wa madaraka hata kwenye maisha ya watu wenu? Hamkuumbwa mtawale milele! Kubalini maamuzi ya wenye nchi!
  12. B

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Ila jamani...siamini kiwango hiki cha kujibu maswali ni cha presida wetu. Inasikitisha sana. Afu hana confo kabisa. Nini kimempata mkulu wetu? Hebu wekeni ushabiki...mnijibu kwa hekima.
  13. B

    Jobs at Twaweza

    Wadau, napenda kuwasukumia nafasi za kazi toka Twaweza-Tanzania. Click hio link hapo chini. Wale wenye sifa zao wajirushe. Jobs at Twaweza :: Work with us :: About us :: Twaweza.org
  14. B

    GE2010 Prof. LIPUMBA kumpa shavu Dr. SLAA

    Nani kafuta tena ndugu...mnaanza kufanya umafia humun ndani?
Back
Top Bottom