Mkuu ongeza bidii maswala ya designing unahitaji kuwa more creative,kuna watu wako vizuri jaribu kuangalia kazi zao...na ujifunze program tofauti usitumie publisher (template)ukaona umemaliza kuna program kama Photoshop,illustrations, logo design,...nyingi sana jaribu kutumia...
Soma masomo yenye physics ukifanya vizuri endelea na computer information technology kuna mambo ya graphics au soma kozi za mawasiliano ya umma imekusanya mambo mengi,
...lakini usisahau lengo lako coz graphics designer inahitaji practical zaidi.All the best..fighting mie mwenyewe napenda hizo...
Wadau napenda kutumia fursa hii kuulizia namna gani naweza kupata nafasi ya internship kwenye mambo ya media sanasana kwenye TV(video visual editor and graphics).
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hawana hao watu uliowataja like presenter,graphics designer...unadhani unadhani utafanya TBC iwe Na muonekano..wakuendelea?ama vyote utafanya wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.