Recent content by bukoba boy

  1. bukoba boy

    Mara ya kwanza kuwaona kunguni kitandani kwangu akili iligoma kukubali!

    Ikitaka kuua kunguni,piga dawa,loweka ngui zote kwenye maji moto,toa kitanda na godoro nje kipigwe jua kwa week moja.
  2. bukoba boy

    Nahitaji Mwanasheria kwa ajili ya kufungua kesi ya madai

    Iko hivi... Mimi ni mmoja wa wanahisa wa kampuni fulani mkoani Arusha.Katika harakati za kutaka kuongeza mtaji,wazo la kwenda taasisi za fedha kukopa likaibuka.Moja ya mahitaji ya hiyo taasisi tuliyotuma maombi ni kutaka kujua historia ya ulipaji wa mikopo ya wanahisa wa kampuni. Sasa kupitia...
  3. bukoba boy

    Naweza kupata vibali vya Microfinance kwa mtaji wa Milioni 5?

    Nipe hiyo kazi nikupe leseni aftre 90 days.
  4. bukoba boy

    Nawezaje kusafirisha pweza toka Lindi hadi mwanza pasipo kuharibika??

    Ushamba wa kusema pweza ni za nguvu za kiume,mimi nimeanza kula pweza nina miaka 7 na nikawapenda sahv niko Mwanza ,ntakua mteja wake wa kwanza huyu mwamba akifanikisha wazo lake.
  5. bukoba boy

    Picha: Ni aina gani ya Mbegu za Mahindi ambayo inazaa na kubeba Watoto wengi Kiasi hiki?

    Huo ni uongo,hakuna mbegu inabeba mahindi 4 yenye afya sawa(nzuri).
  6. bukoba boy

    Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasiokuwa na Seat (wanasimama)

    Hao wanaosimamishwa ni maokoto ya wafanyakazi wa bus,malipo yao madogo waoneeni huruma nao wanafamilia zinawategemea.
  7. bukoba boy

    Waliosoma shule ya msingi KIJENGE 1980's

    Sisi wa 2003 tunacomment wapi?
  8. bukoba boy

    Natafuta mbegu ya Maharage aina ya Fiwi

    Turiani sehemu gani mkuu?
  9. bukoba boy

    Natafuta mbegu ya Maharage aina ya Fiwi

    Habari wakuu, Nahitaji mbegu ya maharage aina ya fiwi nataka nijaribu,ila nahitaji mbegu inayozaa sana,achana na zile za Hedaru,kama unafahamu naipaje[wapi],usisite kuwasiliana na mimi. Asante sana.
  10. bukoba boy

    Ninahitaji Mkopo. Msaada wa njia rahisi

    Mkopo wa dharura hawezi pata bank,by the time analipwa dharura ishaisha,jawabu lako hapo ni kwa ndugu sababu hata microfinance kama hawakujui utachelewa.
  11. bukoba boy

    Interplanetary Transport System[ITS]: Safari ya kwenda sayari ya Mars

    Miaka 6 imepita,Starship haijafika hata orbit.Musk kwa deadline haaminiki.
  12. bukoba boy

    Wapi napata kioo cha smart tv brand ya tcl google TV 32 inch?

    TV ikiharibika kioo,nunua TV nyingine hyo mbovu uza skrepa.
Back
Top Bottom