Recent content by bukoba boy

  1. bukoba boy

    Bima ya Afya NSSF

    Wadau kwema! Naomba kujua kuhusu bima ya Afya ya NSSF kwa wanachama wake.Iko vipi sababu amekuja Inspection officer wao ofisini ametushawishi tujiunge kwani ni kama bure sababu hakuna gharama nyingine zaidi ya michango.Unapewa list ya hospitali maalum kwenye mkoa husika.
  2. bukoba boy

    Fundi Wiring umeme wa Nyumbani

    Kwanini?hakuna conduit?
  3. bukoba boy

    Fundi Wiring umeme wa Nyumbani

    Habari wadau humu! Hii kazi unaipa marks ngapi?
  4. bukoba boy

    Nahitaji system ya Microfinance

    Habari Wakuu! Nahitaji system ya kununua kwa ajili ya kutumia kwenye kampuni ya mkopo. Ya kununua moja kwa moja sio kulipia kwa mwezi.Tuwasiliane basi PM iko wazi.
  5. bukoba boy

    Who is this?

    Ngoja kidogo
  6. bukoba boy

    Mara ya kwanza kuwaona kunguni kitandani kwangu akili iligoma kukubali!

    Ikitaka kuua kunguni,piga dawa,loweka ngui zote kwenye maji moto,toa kitanda na godoro nje kipigwe jua kwa week moja.
  7. bukoba boy

    Nahitaji Mwanasheria kwa ajili ya kufungua kesi ya madai

    Iko hivi... Mimi ni mmoja wa wanahisa wa kampuni fulani mkoani Arusha.Katika harakati za kutaka kuongeza mtaji,wazo la kwenda taasisi za fedha kukopa likaibuka.Moja ya mahitaji ya hiyo taasisi tuliyotuma maombi ni kutaka kujua historia ya ulipaji wa mikopo ya wanahisa wa kampuni. Sasa kupitia...
  8. bukoba boy

    Naweza kupata vibali vya Microfinance kwa mtaji wa Milioni 5?

    Nipe hiyo kazi nikupe leseni aftre 90 days.
  9. bukoba boy

    Nawezaje kusafirisha pweza toka Lindi hadi mwanza pasipo kuharibika??

    Ushamba wa kusema pweza ni za nguvu za kiume,mimi nimeanza kula pweza nina miaka 7 na nikawapenda sahv niko Mwanza ,ntakua mteja wake wa kwanza huyu mwamba akifanikisha wazo lake.
  10. bukoba boy

    Picha: Ni aina gani ya Mbegu za Mahindi ambayo inazaa na kubeba Watoto wengi Kiasi hiki?

    Huo ni uongo,hakuna mbegu inabeba mahindi 4 yenye afya sawa(nzuri).
  11. bukoba boy

    Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasiokuwa na Seat (wanasimama)

    Hao wanaosimamishwa ni maokoto ya wafanyakazi wa bus,malipo yao madogo waoneeni huruma nao wanafamilia zinawategemea.
  12. bukoba boy

    Waliosoma shule ya msingi KIJENGE 1980's

    Sisi wa 2003 tunacomment wapi?
Back
Top Bottom