Iko hivi...
Mimi ni mmoja wa wanahisa wa kampuni fulani mkoani Arusha.Katika harakati za kutaka kuongeza mtaji,wazo la kwenda taasisi za fedha kukopa likaibuka.Moja ya mahitaji ya hiyo taasisi tuliyotuma maombi ni kutaka kujua historia ya ulipaji wa mikopo ya wanahisa wa kampuni.
Sasa kupitia...
Ushamba wa kusema pweza ni za nguvu za kiume,mimi nimeanza kula pweza nina miaka 7 na nikawapenda sahv niko Mwanza ,ntakua mteja wake wa kwanza huyu mwamba akifanikisha wazo lake.
Habari wakuu,
Nahitaji mbegu ya maharage aina ya fiwi nataka nijaribu,ila nahitaji mbegu inayozaa sana,achana na zile za Hedaru,kama unafahamu naipaje[wapi],usisite kuwasiliana na mimi. Asante sana.
Mkopo wa dharura hawezi pata bank,by the time analipwa dharura ishaisha,jawabu lako hapo ni kwa ndugu sababu hata microfinance kama hawakujui utachelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.