Kama kwel unaona logic za manara nizakisomi sishangai taifa hili hususan kwenye ulimwengu Wa soka kuwa bado tunaitwa kichwa cha mwenda wazimu kila MTU anajifunzia kwetu kunyoa cjui logic gani unazozielewa toka kwa huyu MTU tofauti na kupiga kelele kwenye media kila siku na kuwabebea watu li tv...
Nyie ISIDINGO fc hamna jipya niaher na coastal iliyoteremka daraja kuliko Chura matopen Sports club na msipoangalia mtaenda msimu wa Tano mkiendelea kubwabwaja hivyo hivyo...kila msimu ukifika mwisho yule Tajiri yenu Hanspope aka 'Mr. Kazi nyingi' anawaambia eti mtanjipanga msimu ujao mmeshakuwa...
GENTAMYCINE mwenzako Sembo naona alishaga acha kisabengo na kimbelembele chake, Tangu yule kocha wake Mwenye lesen daraja A ya FIFa wampuge pale Matopen fc kesha kuwa mpole kama maji mtungini
Tuisome namba kwa lipi? Nyie ISIDINGO fc shame on you...wakati WAKIMATAIFA wakiendelea kukamua tiz la uhakika nyie mmekazana kusajili vibabu naona maisha ya OMong pale Shura matopen Sports club yakiwa mafupi mno
Inavyoonekana timu ya wanaoitwa 'makinda fc' ndo bac tena sasa hiv wamegeukia vibabu vya kimataifa...ngoja tuwaone ISIDINGO Fc aka wazee wa next seasons aka wazee wa kujipanga msimu ujao wameshakuwa kama Tamthilia ya ISIDINGO haiishagi kila msimu wao wanasema wanajipanga msimu ujao
Mkuu simba wana vyanzo gani vya mapato?? C wanakopeshana wao kwa wao huo ndani? Au haujasikia hans pope anaidai simba? Na pia watu kibao wanaidai simba???
Hivi ile michuano ya liver nile cup aka Musonye Bonanza cup iliyeyukia wapi? Maana nakumbuka Chura Matopen sports club ilikuwa ashiriki yale mashindano kwa tiketi ya viti maalumu beby
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.