Mimi niko kama ww na naishi fresh napo pata mda wa kujichanganya najichanganya tena kwa mood inavyonituma ila sio watu wanasema au wao wanavyotaka na naenjoy japo kuna mda nakua sad kwa hii hali ila ndo nishazoea
Mimi mara nyingi inanitokea hii Kwa mfano nikiwa nimelala mtu akiingia chumbani najua kama Kuna mtu na nikishtuka kweli Kuna mtu unakuta ameingia na ya pili nikiwa natembea mtu akiwa ananiangalia bila mm kumuona nikigeuka basi unakuta kweli alikua ananiangalia unakuta anaangalia pembeni kama...
Mimi kwa upande wangu nilianza kwenda gym
na ilinisaidia sana coz nilikua nishakata tamaa
na most ya vitu vyote leo hii vilivyotokea kwenye maisha yangu vimenifanya
nimekua mtu bora na najiamini na pia najisimamia
mwenyewe
nyakati zote tunazo pitia ziwe mbaya au nzuri Zina mafunzo...
Ushauri wa bure mle mtigo huyo mkeo upunguze machungu acha kulia lia mimi demu nikiisi tu anachepuka namla tako hasira zote zinaisha na hata akichepuka mimi roho hata ainiumi
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Mimi ndo maana mpnz yamenishinda mzee karibu tucheze game la pub g halina stress full raha mixer mnapiga story na wana hayo mambo ya mademu na haija hela ni kujitia kidole na kunusa mpnz bila pesa hayaendi zaidi zaidi utateseka tu
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Kwa mm mara nyingi hua namtafuta pale napo jiskia na yeye pia hvyo hvyo akikausha basi nakausha coz sio kila mda unajishusha kua ww tu ndo kila siku umtafute mwache yeye pia ajiongeze ukiona siku inapita bila kutafutwa ujue ww hauna umuhimu kwake so na ww jiongeze kua kama yeye akikutafuta poa...
Anaweza akawa hana shida but ajapata tu mtu ambaye anampenda ile serious au labda aina ya wanawake anao wataka yeye labda hawapo tayr kwa mahusiano ya mda mrefu.
Kaka kweli unateswa sahz ndo umeandika uzi huu pole mkuu ila hauko peke yako wenzio tunaachwa kwa kejeri na dharau na bado atukomi usikate tamaa mzee wa kazi kaza sasa hv kua na chupi tofauti tofauti utarudi na mrejesho mpya.
Hapana basi tu niliamua kuacha mwenyewe alafu kuna kale kaheshima flani kanashuka watu wako wa karibu wakijua unavuta bangi ujue kila mtu amekulia kwenye jamii tofauti ila bangi nzuri sana kuna stimu flan hv matata ukivuta
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.