Msaada wa kutengeneza beat kwa kutumia FL studio

Msaada wa kutengeneza beat kwa kutumia FL studio

kama Mimi..but natafuta muda miezi ya mbele nitengeneze traps za hatari..ni rap mwenyewe..just one mix tape..ndio iwe basi
The problem ni kuwa once homeboy always homeboy, kitu kikiwa moyoni afu ni recreation huwezi acha zaidi ya kupumzika, kuna roho inakuwa inakuita tu, mana most of the time being serious with this stuff inaunda a wider gap between yourself and social life not to mention family.
 
The problem ni kuwa once homeboy always homeboy, kitu kikiwa moyoni afu ni recreation huwezi acha zaidi ya kupumzika, kuna roho inakuwa inakuita tu, mana most of the time being serious with this stuff inaunda a wider gap between yourself and social life not to mention family.
kweli mzee,Kila nkiacha,nikiona watu wanazungumzia Music,au nkiona rapper mkali I get this feeling like ,damn he need my beats,damn what if I was still a beat maker..najikuta siachi ILA napotezea Tu kwa muda..now narudi sijui lini..hah
 
Rekebisha sikio lako, feel the music, jifunze music theory, how to equilize, how to mix, how to filter track e.t.c.
beat ni kazi kusikiliza muda mrefu kwasabu umepandanisha instruments, hazina groove mzee, hazishtui moyo.

In music, groove is the sense of propulsive rhythmic "feel" or sense of "swing". In jazz, it can be felt as a persistently repeated pattern. It can be created by the interaction of the music played by a band's rhythm section. Wikipedia
nashukuru kaka nimeyafanyia kazi naomba unisikilize nilipofikia
 
kweli mzee,Kila nkiacha,nikiona watu wanazungumzia Music,au nkiona rapper mkali I get this feeling like ,damn he need my beats,damn what if I was still a beat maker..najikuta siachi ILA napotezea Tu kwa muda..now narudi sijui lini..hah
kaka nidondoshee beat moja niisikie
 
wakuu habari niliomba ushauri na maoni mkanipokea ndugu zangu nashukuru now mawazo yenu nimefanyia kazi kadri nilivyoweza naomba munipokee na hii beat then munipe tena mawazo wapi nimeteleza wapi inaitaji nijirekebishe tena naitaji kuwa beat maker mzuri tu mungu akipenda niwe mtayarishaji wa muziki world wide
 

Attachments

Hahaha,.. Hizo beat zako zimenikumbusha mbali sana,.. Lol!!!
Anyways,unataka usaidiwe nini sasa maana mi hata sijaelewa haswa unachohitaji,.. ila ka ulitaka tuckilize tu hizo beat zako tushazickia and,..They are straight trash,..!!!
Hebu wewe mwenyewe tu jaribu kuimba kwenye hizo beat uone.!!!
nashukuru mkuu ila haukunieleza dhumuni langu naisi kwakuwa nilisha weka wazi kuwa naitaji msaada na sio naitaji atu wasikilize kwani hata wakisikilize sina ninachokipata lengo musikilize then muniambie ila nimesikia maoni nime jaribu naomba pia uisikilize
 
wakuu habari niliomba ushauri na maoni mkanipokea ndugu zangu nashukuru now mawazo yenu nimefanyia kazi kadri nilivyoweza naomba munipokee na hii beat then munipe tena mawazo wapi nimeteleza wapi inaitaji nijirekebishe tena naitaji kuwa beat maker mzuri tu mungu akipenda niwe mtayarishaji wa muziki world wide

Hizo chords ziko so loud.,.mi binafsi zinanidistract,..melody zako zinasound so digital,..najua utakua unadraw in notes,jaribu kujifunza how to make 'em notes sound as if zimepigwa na real instrument,..kwenye transitions ungekua unatoa baadhi ya sounds zingesound poa zaidi,like drums or bass,..afu,acha kutumia signature sound za watu, i.e hio chant hapo mwanzo.
 
wakuu habari niliomba ushauri na maoni mkanipokea ndugu zangu nashukuru now mawazo yenu nimefanyia kazi kadri nilivyoweza naomba munipokee na hii beat then munipe tena mawazo wapi nimeteleza wapi inaitaji nijirekebishe tena naitaji kuwa beat maker mzuri tu mungu akipenda niwe mtayarishaji wa muziki world wide
Mdau upo vizuri

Jitahidi tufanye kazi wote
 
Hizo chords ziko so loud.,.mi binafsi zinanidistract,..melody zako zinasound so digital,..najua utakua unadraw in notes,jaribu kujifunza how to make 'em notes sound as if zimepigwa na real instrument,..kwenye transitions ungekua unatoa baadhi ya sounds zingesound poa zaidi,like drums or bass,..afu,acha kutumia signature sound za watu, i.e hio chant hapo mwanzo.
asante kaka
 
Niaje wana comment zenu kwenye hii beat niliyogonga
 
Bado Sana..nitafute

Vip kaka me nipo dsm naelekea arusha likizo. Nilidownload fl studio ila sikuitumia maana nilkua busy. Nimeanza juzi leo siku ya tatu ila ukiskiliza huwezi amini nimejifunza na you tube. Natamani nipate mtu sahihi kaka nimejikuta naoma kama nilichelewa sana kuijua hii ningeshafanya mambo makubwa mweli hapa Tz. Bro amini me nipo nwjua kitu kizuri hapa sibaatishi
 
Mm ni mlevi na muhanga wa fl kiasi ambacho ilibidi niuze pc zote maana hakuna kazi utaifanya zaidi ya fl ina kula mda kuliko video games

Bro me ndio naona imenifanya nimekesha siku mbili mfululizo . Yan nilitumia ikawa usiku na pakakucha natumia sikuikaisha na nikakesha tena mpka asbh… ila nimejifunza vitu vingi sana kwa hicho kipndi na naweza kugonga beat kali kias saiv wakat nimetumia kama sku tano saiv
 
Bro me ndio naona imenifanya nimekesha siku mbili mfululizo . Yan nilitumia ikawa usiku na pakakucha natumia sikuikaisha na nikakesha tena mpka asbh… ila nimejifunza vitu vingi sana kwa hicho kipndi na naweza kugonga beat kali kias saiv wakat nimetumia kama sku tano saiv
Vijana wengi wanapoteza muda kujifunza FL bila kujua Music Theory, na wengi wakiwa na idea na FL ukiwapa mfano Studio One wanaona madudu wakati DAW ni Daw tu kikubwa ni flexibility.

Pambana ujifunze PIANO, na kinachoharibu wengi ni loops
Jifunze key Moja then utahamia nyingine na uzuri wake ukijua key moja unakuwa na uwezo wa kutranspose kwenda kwenye key nyingine.

Ukijua piano FL utajifunza taratibu arrangement ya sound pamoja na Mixing japo Mastering itakuchukua muda mwingine tena kwa kadri siku zinavyozidi kwenda utatengeneza sikio zuri la mziki.
 
Nimekuja kugundua watanzania wengi ni wajinga sana na nmekuja kugundua wabongo weng hatujui nn maana ya simu janja smartphone na matumizi yake

Wabongo izi smartphone ni msaada sana dunian na akuna kitu utakosa ndani ya smartphone ni jinsi tu yakuutumia

Leo hii unaweza jua bei za kitu kwa kutumia tu smartphone yako kwa kukipiga tu picha icho kitu na kikakupa bei
Leo hii unaweza tapa solusheni ya kitu kwa kutumia smartphone tena bila ata ya kutumia
Leo hii unaweza kujifunza kitu moja kwa moja kutoka kwa wataalamu kwa kutumia simu janja yako
Leo hii unaweza tafsiri lugha kwa kutumia tu google search ukapiga pic iyo lugha yenyewe ikakutafsilia

Ebu tujifunze kutumia smartphone km inakua ngumu kujifunza bas tuanzisheni uzi humu jamii forum jinsi ya kutumia smartphone na misaada tunayoweza pata kwa kutumia smartphones
 
Back
Top Bottom