Recent content by budget

  1. budget

    Nukuu za Katibu Mwenezi CCM Taifa akiongea baada Rais Samia kuwasili akitokea ziara nje ya nchi, Jumapili 20 Februari 2022

    NUKUU ZA KATIBU MWENEZI TAIFA SHAKA HAMDU SHAKA AKIONGEA BAADA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUWASILI AKITOKEA ZIARA, JUMAPILI 20 FEBRUARI 2022 " CCM inaridhishwa na juhudi za kisera zitokanazo na upeo, uthubutu na juhudi zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan katika medani za Kimataifa"...
  2. budget

    Waziri Mkuu azindua chuo cha Veta Busekelo

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Chuo cha Ufundi Stadi cha wilaya ya Busokelo mkoani Mbeya, Agosti 1, 2021. Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama...
  3. budget

    Shaka Hamdu Shaka amelala nyumbani kwa Balozi Ndugu Iddi Mwaibaje

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amelala nyumbani kwa Balozi Ndugu Iddi Mwaibaje mwenyekiti wa shina namba 1 Kata ya Chapwa Jimbo la Tunduma. Asubuhi ya leo amejumuika na uongozi na wanachama wa shina hilo kupata chai pamoja. Akiwa katika shina...
  4. budget

    Namfananisha Shaka Hamdu Shaka na Alexander the Great

    Namna katibu wa NEC itikadi na uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka kijana wa Mwambao wa Bahari ya Hindi pale Zanzibar anavyofanya uongozi wake imenirudisha mwezi July mwaka 356k.k. katika Mwambao wa Caspian wenye urefu wa km 2,815 nchini Persia (Iran ya leo) alipozaliwa mtoto Alexander. Kama jinsi...
  5. budget

    Shaka: Upinzani acheni siasa za Analogia

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa rai kwa baadhi ya vyama vya siasa nchini kujitathimini ili viweze kufanya Siasa ya kisayansi na kuacha tabia yao ya kufanya siasa za unajimu na ubashiri. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo jana katika...
  6. budget

    GE2020 Uchaguzi mdogo Muhambwe: Dkt. Florence Samizi ashinda kwa kishindo

    MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA MUHAMBWE Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, Dkt. Florence Samizi. Dkt. Samizi ameshinda uchaguzi huo baada ya kupata kura...
  7. budget

    SHAKA: Zitto Acha Ulalamishi na Siasa za Kitoto

    Chama Cha Mapinduzi kimesema Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kutapatapa na kutafuta mchawi baada ya kuona Jahazi la Chama chake likienda mrama kufuatia matokeo ya awali katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe, ambapo CCM imeongoza kwenye Vituo vilivyokwishatangaza matokeo kwa zaidi...
  8. budget

    Shaka Hamdu Shaka: CCM itashinda Buhigwe na Muhambwe

    TAARIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI KUHUSU MWENENDO WA KAMPENI ZA CCM MAJIMBO YA BUHIGWE NA MUHAMBWE KUELEKEA UCHAGUZI WA MARUDIO 16 MEI, 2021. Chama Cha Mapinduzi kilifanya uzinduzi wa kampeni za ubunge katika Jimbo la Muhambwe tarehe 4 Mei 2021 na Jimbo la Buhigwe tarehe 5 Mei 2021 ukiongozwa na...
  9. budget

    Fundi selemala humchukua hata masiku kutengeneza samani lakini humchukua dakika kuharibu

    *_Fundi Selemala Humchukua Hata Masiku kutengeneza Thamani... Lakini Huwa Inamchukua Dakika Kama Sio Sekunde kuibomoa na kuiharibu samani* Kuwa na Mvii Nyingi Kichwani Haitoshi Kuwa Kipimo Cha Busara Na Hekima Katika Kuyaendea Mambo...... Wakati Mwingine Msongo Wa Mawazo Unaweza Kumpelekea Mtu...
  10. budget

    Edward Lowassa special thread

    Wananchi wanahitaji vitu ving zaid ya uhuru na uzalendo
  11. budget

    Edward Lowassa special thread

    TAARIFA KWA 4U MOVEMENT DODOMA. Habari, Wana 4u movement mliopo Dodoma na Watanzania wote wenye mapenzi mema na Edward Lowassa tunawaasa kutovaa T-shirt zozote za 4u movement au zenye jina la Edward Lowassa katika kipindi chote cha mikutano ya Chama. Najua na kutambua hadi jana tarehe...
  12. budget

    Lowassa, Nchi ilipokuwa njiapanda kwanini ulikaa kimya?

    Uliyepost unajua taratibu za nchi ama umekunywa kiroba ukaambiwa post huu ushuzi
  13. budget

    Tafakuri yakinifu kuhusu wagombea urais

    TAFAKURI YAKINIFU KUHUSU WAGOMBEA *Tuwapime Wagombea Kwa Utashi Wao Kisiasa Katika Mawanda Mapana Ya Kutangaza Kwao Nia, Kuchukua Fomu Na Kutafuta Udhamini BERNARD KAMILLIUS MEMBE Membe sio Mwanasiasa mzuri na hana muda mrefu wa utumishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi kadi yake Ya kwanza ya...
  14. budget

    Msafara wa Lowassa waingia Tabora, Wananchi wauzuia ili kusalimiana naye

    Kwa akili zako ww endelea kudhani wanaoenda wanalipwa utachelewa
  15. budget

    Msafara wa Lowassa waingia Tabora, Wananchi wauzuia ili kusalimiana naye

    Watu 9115 wamemdhamin edward leo tabora
Back
Top Bottom