Inaelekea una mtindio wa ubongo. Asiye muelewa Slow Slow ni miongoni mwa vikaragosi wa mafisadi na mafisadi wenyewe katika harakati za kuficha ukweli wa ufisadi wao. Mwandishi wa hii thread muogope Mungu. Amen.
Inaelekea CDF Gen Mkunda ameshalamba asali, kayapata mabegi ya Abdul. Lakini huo ni ukiukaji mkubwa sana wa maadili ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Tulitegemea Loliondo ingerejeshwa na Jeshi letu, lakini kama muonavyo. Tulitegemea DP WORLD wangeonywa na TPDF ili nchi isiporwe. Lakini TPDF ni...
Hii ni Amri ya NANE kati ya AMRI KUMI ZA MUNGU.
Usimshuhudie jirani yako uongo*: Hivi karibuni wenzetu wachache wanaenda kutenda DHAMBI HII KUBWA.
Kama ni kweli kwanini USHUHUDIE KWA KUJIFICHA?
Yaani sasa hivi mko busy mnafanya rehearsals za USHAHIDI WA UONGO kwa kulipwa SHEKELI. Yuda...
Hilo ndilo eneo alilouza Rais Ali Hassan Mwinyi kwa Waarabu. Kumbuka Mwinyi huyo ni Mzanzibari, Mama naye tutadikia vizuri baadaye. Hilo eneo alilouza Mwinyi ni mali ya Waarabu hata ukifika hapo na simu yako itakwambia uko UNITED ARAB EMIRATES. Hapo ndipo wanyama wetu wanapandia ndege kwenda...
Hasira inasababishwa na uongozi wao wa juu. Fedha za kufa na kuzikana zinaliwa na wakubwa wao ambao wala hawachangii. Rais anadanganywa kuwa maisha ya Polisi yameboreshwa wakati ndiyo kwanza yamedumaa. Kila kukicha wanaambiwa wao ndiyo watekaji na wapotezaji watu wakati siyo wao kwahiyo wamejawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.