Recent content by Bryece

  1. Bryece

    Tuliowahi kuwa vikojozi tukutane hapa tufarijiane...

    Dah n suala gumu ikwa umelptia... sababu pia linafanya mtu apunguze kujiamini hasa likiendelea kufikia miaka 18... Llntesa wallah🤭🤭🤭
  2. Bryece

    Taja wimbo unaoukubali kwa muda wote

    Wasiwasi by rayvanny
  3. Bryece

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Kuwa serious
  4. Bryece

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Habar nn maana ya ndoto hii... nimeota napanda mti mrefu unaofka mawinguni nikiwa na mwenza wangu ambaye alikuwa ametangulia juu mimi nikiwa chini, tulivofika juu kabisa yeye akawa wa mwanzo kuiona pete ya dhahabu ambayo alinivika kwenye mkono wangu wa kushoto, wakati huo mimi nimeishiwa nguvu ...
  5. Bryece

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Najifunza 🙏🙏
  6. Bryece

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Ndugu Rakims vp khsu mambo ya kimawasiliano kati ya kaa na mapacha Pia suala la pesa je ni nyota zinazopatana katika utafutaji wa pesa
  7. Bryece

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Shukran...na imenigusa na kunifunza
  8. Bryece

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Nyota ya mapacha na kaa zinaendana kwenye mahusiano ya kimapenzi
  9. Bryece

    Taarab yenye mashairi haya kaimba nani?, "nikifanya mimi mwapiga kelele, mkifanya nyinyi imekuwa gere, mnaota, mnaoota"

    Kaimba isha mashauzi ama isha ramadhani kipindi yupo jahazi modern taarabu
  10. Bryece

    Umaarufu!

    Kuchora na gud handwriting an nkuwa kla tcha lazma ancfie na mark ya bure npate
  11. Bryece

    Kule kwa Malkia: Meghan Markle ameanza kuisoma namba

    Chiiiiiii.....my ribs😂😂😂co kwa chambo hlo la kdhungu🤣🤣🤣🤣
  12. Bryece

    Michael Jackson ni mmoja ya watu wenye akili sana waliopata kuzaliwa Duniani

    Kuhusu kujbadl mwonekano na kuwa mzungu,Zaid Mike alitaka ku'prove wrong whites kuwa wao hawawez kuwa waafrika bali waafrika wanaweza kuwa whites...kwahyo waafrika n bora kuliko whites.
  13. Bryece

    Elimu ya unajimu

    :):):) Nice
Back
Top Bottom