Recent content by brucella

  1. B

    JamiiForums Tanzania KERO Tunateseka na Daladala kukatisha route za Arusha mjini kwenda Atomic Energy kupitia Njiro Nane Nane

    Kumekuwepo na changamoto ya baadhi ya daladala kusitisha route katika maeneo mengi nchini. Mwezi wa nne mwaka 2026 nilikaa Arusha kikazi kwa karibu mwezi mzima. Nilikuwa nakaa eneo la Atomic Energy, route ya mjini kwenda Atomic Energy kupitia Nane Nane, Njiro. Nilikuwa nikitoka na kurudi...
  2. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ndugai huna chako Jimbo la Kongwa, Hersi Said wa Yanga ni Mbunge ajae Kongwa

    Duuh nimeshanusa harufu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hati milki za ardhi 1,176 zatolewa maonesho ya sabasaba

    Naomba nijue taratibu za kuomba hati , kwenye shamba na kiwanja
  4. B

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Uwezo kama upo wape utaendelea kubalikiwa ila kama uwezo haupo yaani kama ni mdogo achana nao waambie ukweli
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu

    Usimuache kaka,mimi nimepita changamoto hiyo for 6 years tangu tufunge ndoa lakini tunamshukuru Mungu mke wangu ni mjamzito.kuna dawa za kichina alitumia mke wangu baada ya kuhangaika kwa gynecologists mbalimbali Tz bila mafanikio.Ndani ya mwezi mmoja tu baada ya kutumia akapata ujauzito.So...
  6. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yesu hakuwatukana Watawala. Hata aliposikia Yohana amekatwa kichwa, alinyamaza. Kwanini?

    Soms luka 13:32 alivyomwambia herodi ni mbweha
  7. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mama Samia Support tupo tayari kumpigania rais Samia kushinda katika uchaguzi mkuu 2025

    Mkuu kwan mama anashindana na nani? Weken free and fair election muone kitachotokea hamtaamini macho yenu, ila kwa hali ilivyo sasa hivi atashinda Zaid ya asilimia 80
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kiza kinene fainali ya mkondo wa pili ya kombe la Shirikisho Afrika

    Mkuu CAF wao walishatoa taarifa game inapigwa Zanzibar.So nyie wanasimba ndoo mnahangaika.Na maandalizi yanaendelea Zanzibar new Aman stadium.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vijana acheni kuruka hatua za ukuaji kwenye biashara

    Sure bro,nimeanza biashara mwaka wa tatu ndoo nimeanza kuona faida .
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nauza mchele mzuri tani 3.5 Ifakara,Kilombero.

    Mkuu mbona huku Dar mchele kama huo tunaupata kwa 2000,anyway kila la kheri
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Wakiristo semeni ukweli kama Yesu ni Mungu imekuaje amekufa kwa kuangikwa msalabani? Alipokufa nani alikuwa Mungu? Nani aliyemfufu?

    Ni vizur ungeanza kutuambia wewe ni iman gani ili tujue wapi pa kuanzia.Maana hilo kwa mkiristo kamili hilo ni swali dogo mno
  12. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

    Hospital za serikali zina uafadhal kwenye kutoa huduma za kweli za vipimo na huduma ya daktari kuliko private hospitals
  13. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyumba ya kununua iliyokamilika

    Arusha,kuna nyumba inauzwa iko Mtaa wa kalimaji,moshono karibu na round about ya east Africa ya njiro.Imekamilika kila kitu.Sababu ya kuuza ni kwamba huyo mwenye nyumba anataka akae mbali kidogo na ndugu zake . Kama unahitaji nicheki
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

    Wastani wa mauzo ukoje na unataka ufike wap
Back
Top Bottom