Recent content by brucella

  1. B

    Hati milki za ardhi 1,176 zatolewa maonesho ya sabasaba

    Naomba nijue taratibu za kuomba hati , kwenye shamba na kiwanja
  2. B

    Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Uwezo kama upo wape utaendelea kubalikiwa ila kama uwezo haupo yaani kama ni mdogo achana nao waambie ukweli
  3. B

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    Usimuache kaka,mimi nimepita changamoto hiyo for 6 years tangu tufunge ndoa lakini tunamshukuru Mungu mke wangu ni mjamzito.kuna dawa za kichina alitumia mke wangu baada ya kuhangaika kwa gynecologists mbalimbali Tz bila mafanikio.Ndani ya mwezi mmoja tu baada ya kutumia akapata ujauzito.So...
  4. B

    PreGE2025 Mama Samia Support tupo tayari kumpigania rais Samia kushinda katika uchaguzi mkuu 2025

    Mkuu kwan mama anashindana na nani? Weken free and fair election muone kitachotokea hamtaamini macho yenu, ila kwa hali ilivyo sasa hivi atashinda Zaid ya asilimia 80
  5. B

    Kiza kinene fainali ya mkondo wa pili ya kombe la Shirikisho Afrika

    Mkuu CAF wao walishatoa taarifa game inapigwa Zanzibar.So nyie wanasimba ndoo mnahangaika.Na maandalizi yanaendelea Zanzibar new Aman stadium.
  6. B

    Vijana acheni kuruka hatua za ukuaji kwenye biashara

    Sure bro,nimeanza biashara mwaka wa tatu ndoo nimeanza kuona faida .
  7. B

    Nauza mchele mzuri tani 3.5 Ifakara,Kilombero.

    Mkuu mbona huku Dar mchele kama huo tunaupata kwa 2000,anyway kila la kheri
  8. B

    Ndugu zangu Wakiristo semeni ukweli kama Yesu ni Mungu imekuaje amekufa kwa kuangikwa msalabani? Alipokufa nani alikuwa Mungu? Nani aliyemfufu?

    Ni vizur ungeanza kutuambia wewe ni iman gani ili tujue wapi pa kuanzia.Maana hilo kwa mkiristo kamili hilo ni swali dogo mno
  9. B

    DOKEZO Responded Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

    Hospital za serikali zina uafadhal kwenye kutoa huduma za kweli za vipimo na huduma ya daktari kuliko private hospitals
  10. B

    Natafuta nyumba ya kununua iliyokamilika

    Arusha,kuna nyumba inauzwa iko Mtaa wa kalimaji,moshono karibu na round about ya east Africa ya njiro.Imekamilika kila kitu.Sababu ya kuuza ni kwamba huyo mwenye nyumba anataka akae mbali kidogo na ndugu zake . Kama unahitaji nicheki
  11. B

    Nahitaji mtu aliepo Morogoro, Ifakara anipe ABC za mchele sasa hivi?

    Mkuu kama una mtaji tosha nenda malinyi au mlimba mbele ya ifakara mchele bei ndogo 1000-1200
Back
Top Bottom