Recent content by Brother

  1. B

    Msaada wa kuburn audio CD

    TUKO BIZE KIMTINDO, bt unatumia software gani ku burn audio CD? Ili iwe rahisi kukusaidia.
  2. B

    Mtangazaji Mahiri

    Vampire diary
  3. B

    How to buy laptop online

    Online online 4 what purpose, Hvi kuna ki2 kinakosekana KARIAKOO?? Au hyo MASTER CARD ndo inakupa kiburi.
  4. B

    Tracing mobile phone

    M2 AKIIBA BLACKBERRY AU I-PHONE ANAKAMATWA SIMPLY KWA NJIA ILIYONIFURAHISHA=> Halow naitwa Janeth napiga simu toka VODACOM, wewe ni fulani fulani na namba yako ya simu ni ___ ___ , NDIO basi umefanikiwa kushinda mill1 kweny bht nasibu, thn wakamwambia afike OFISINI apo ujanja wake wote ukaisha...
  5. B

    Apple OS X 10.8 Mountain Lion Kitu kipya hicho kinatoka wakati wa summer time

    bd unategemea mali za marehemu!? Welcome to the Opensource product Linux OS 12 ndo kila ki2.
  6. B

    MSAADA: Simu yangu ya SUMSUNG GALAX 11 INANIKERA.

    Hvi kuna kampuni iliyoweza kuifunika NOKIA.. Cheki sasa hvi, Nokia Lumia ameiacha I phone 4s kwa ubora 4 35% yani kampuni nyingine vimeo! Jamii forums inashidwa kufunguka Je itaweza necta.go.tz wakati wa tokeo.
  7. B

    Natafuta kazi, nina Bsc. in Electrical Engineering

    mh.. Haupo serious! Unataka kufanya "electrical engineering" km B.A in Laws! TENA NI COET PRODUCT. Na wasi wasi na performance yako.
  8. B

    Utapeli mpya wa vodacom

    Sijui na yeye alikuwa anatafuta nini kubonyeza hiyo namba huku haina promotion.. Hawa ndo wanaojisajili freemanson alfu wanasema hawakujua.
  9. B

    My way: Yakukamua voda free net na kuondoka na mpaka 6 gb per day

    mh.. Haya bahna! Modem yng ya Zantel ilifungiwa kwa haya haya mambo. Sasa na hii ya voda, HAPANA.. acha 2 ni gharamike. Vya bure!!
  10. B

    daka mkwanja chap chap!

    Vitu vingine sio lazima utushirikishe.. Daka mkwanja mwenyewe usepe.
  11. B

    Mtanzania ameshinda Apps4Africa!!

    Asanteni sana ni juhudi binafsi ndo zimenipa mafanikio
  12. B

    msaada

    Recomendation!! Download kupitia OVI STORE ndo utapata application ambazo ni compatible na phone yako.
  13. B

    Nashndwa kupata access ya jamii forum.

    Acha kuandika uongo hiyo BOLT browser haipo toka mwaka jana.
  14. B

    Feedback za nelson mandela - arusha

    duh.. Inaonyesha humu wengi mna Masterz nd PHD. Maana ajira nyingi za pale ni Masters nd PHD. Kutoa moja tu iliyokuwa inahitaji mtu mwenye "Adv diploma in computer science/IT" kama ndo ivo Ngoja na mimi nisome kwa bidii nifike Masterz. Mh... LAKINI HAPANA AU WOTE MLI APPLY AKA KA COZI KAMOJA NNI.
Back
Top Bottom