MSAADA: Simu yangu ya SUMSUNG GALAX 11 INANIKERA.

Royals

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
1,466
378
Salaam wakubwa.
Simu yangu niliyoitaja hapo juu inaninyima raha kwa kuwa kila nikiitaka inifungulie kwenye kurasa za kutoa maoni za jamii forum inanigomea kufunguka. Tangu niinunue haifunguka hata mara moja. Nimefikri kuwa kifunguo cha siri nimekikosea na nikakibadilisha lakini wapi hata haikubali zaidi ya kunifungulia pazia la kwanza na kuniambia .

karibu sana bwana Royals
, ukurasa wako unafunguka muda si mrefu. Kisha kimya cha muda mrefu. Wanaojua tatizo na namna ya kulifumbua naomba wanisadie kwa kuwa nimeinunua hii ili niweze uwasiliana nanyi wakati wote na mahali popote. ASANTENI.
 
Salaam wakubwa.
Simu yangu niliyoitaja hapo juu inaninyima raha kwa kuwa kila nikiitaka inifungulie kwenye kurasa za kutoa maoni za jamii forum inanigomea kufunguka. Tangu niinunue haifunguka hata mara moja. Nimefikri kuwa kifunguo cha siri nimekikosea na nikakibadilisha lakini wapi hata haikubali zaidi ya kunifungulia pazia la kwanza na kuniambia .

karibu sana bwana Royals
, ukurasa wako unafunguka muda si mrefu. Kisha kimya cha muda mrefu. Wanaojua tatizo na namna ya kulifumbua naomba wanisadie kwa kuwa nimeinunua hii ili niweze uwasiliana nanyi wakati wote na mahali popote. ASANTENI.

Ndugu unatumia browser gani kufungua jamii forums?? mi nilipata shida hio pia ukitumia original browser ilikuja na cmu na opera ikawa inagoma kwa jamii forum tu lakini. ila nilidownload brower ya firefox kwa market. naitumia for jamii forums. sasa cjui nimebahatisha au firefox supports jf better than other browsers. its worth a try!!! guday:poa
 
mimi pia nimelalamika jf haifunguki kwenye opera mini6 ya blackberry yangu. Na hata nikitumia native bb browser itafunguka index page lakini nikilog in inarudi mwanzo tena ikitaka nilog in. Natumia mtandao wa vodacom
 
mimi natumia simu hiyo na inafungua fasta.je ni provider gani unatumia?pia kwenye setting umeenabke both 2G &3G
 
Ndugu unatumia browser gani kufungua jamii forums?? mi nilipata shida hio pia ukitumia original browser ilikuja na cmu na opera ikawa inagoma kwa jamii forum tu lakini. ila nilidownload brower ya firefox kwa market. naitumia for jamii forums. sasa cjui nimebahatisha au firefox supports jf better than other browsers. its worth a try!!! guday:poa
Ndugu Kamonga, Thank you very much.Niliposoma maelekezo yako nikafanikiwa haraka kushusha Firefox kwenye simu yangu, na sasa ndiyo naitumia kukushukuru. Asante sana.
 
Iphone ni ghali mno bana. wacha niibane hii.
 
Hvi kuna kampuni iliyoweza kuifunika NOKIA.. Cheki sasa hvi, Nokia Lumia ameiacha I phone 4s kwa ubora 4 35% yani kampuni nyingine vimeo! Jamii forums inashidwa kufunguka Je itaweza necta.go.tz wakati wa tokeo.
 
Ndugu Kamonga, Thank you very much.Niliposoma maelekezo yako nikafanikiwa haraka kushusha Firefox kwenye simu yangu, na sasa ndiyo naitumia kukushukuru. Asante sana.

Bwana Royals, Wakati mwingine unagonga kitufe cha like unoingezee heshima ndugu yangu.teheteteh!!!!! guday!!:nerd:
 
Ndugu,Mimi natumia simu kama yako ,na inafungua vyema kabisa ingawa mwanzo was mbinde,nilichokifanya mimi,niliingia kwenye market ambayo ipo kwenye simu already,nikaitafuta application ya jf nikaipata,na kwa chini nilikuta space yakuweka comment,nikatoa dukuduku la hvyo so recently naona wamelifanyia kazi tatizo ilo na natumia jf bila adha
 
Back
Top Bottom