Recent content by broski

  1. B

    Mke wangu amerudi nyumbani, Lakini haniongeleshi, unyumba sipewi

    Kiukweli sijui nifanye nini zaidi ya kumwonea huruma mleta mada kwa kuwa ana akili ndogo sana, sijui inakuwaje mpaka mtu mjinga namna hiyo anaweza kutumia kompyuta wala intaneti. Hebu tuandike muhtasari wa stori yake: Kampa housegirl mimba, anasingizia pombe Badala ya kukubali kumlea mtoto...
  2. B

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Unajutia nini? Mke wako ni mshenzi wa hali ya juu, na hawa watu wawili waliojibu "mpeleke" huyo binti ni washenzi pia. Jamani kuna watu WABAYA humu JF. Unaokoa ndoa yako kwa kuharibu maisha yote ya mtu mwingine? Napata hasira sana kusoma uzi huu... Na hata wewe inaonekana wasiwasi yako ipo...
  3. B

    Mwezi mmoja kabla ya kujifungua mke wangu anataka nimnunulie Murano

    Ni sifa kabisa kutokana na jinsi unavyoandika. Mara utaje unajenga ghorofa, mara Rav 4 ya mkeo ni new model, na mengineyo. Lakini umejiweka wazi kwa kusema unakaa kwenye nyumba ya laki 8 kwa mwezi. Hiyo kodi haiendani kabisa na uwezo wa kununua Rav 4 mpya wala Murano. Endelea kujaribu...
  4. B

    Wanawake wa kiafrika bila kuwapiga makofi ndoa haiendi

    Wewe ni mpumbavu sana, kwa kweli unaonyesha akili yako ni ndogo sana. Utakuwa mkurya mwenyewe. Mimi sipendi kabisa uzi kama huu kwa sababu unafundisha ukatili na ushenzi tu na zote zinatakiwa zipigwe marufuku humu MMU. Hakuna busara yoyote ndani ya post yako. Sitaki kupoteza sana muda wangu wa...
  5. B

    Msimamo wangu

    Ndo maana nakuita mnafiki, unataka kuwa na hela zako na kuwa independent na mume (ni sawa, sina shida na hilo lengo), lakini bado unataka kula hela zake pia. Mtu kama wewe utakosa kabisa mume maana hakuna mtu atakayekubali mawazo kama haya. Either uchague maisha ya kisasa ambayo kila mtu ana...
  6. B

    Msimamo wangu

    Unasema hutaki mwanaume bahiri lakini wewe mwenyewe hutaki mwanaume aguse hela zako hata kama unazo zaidi. Sasa nani ni mbahiri? Kuna wanawake WANAFIKI hapa duniani kwa kweli. Ukitaka ale kwa jasho lake, basi ule kwa jasho lako. Wanawake wa kisasa mnayo matatizo mengi, mnasema hamtaki tena...
  7. B

    Kizazi cha wanaume wahongaji chapotea taratibu, kizazi cha wanaume bahili chashika chati kwa Kasi!

    Sasa hivi wanawake mnaanza kuelewa maana ya "haki sawa". Mnapiga kelele kwamba mnataka usawa na wanaume, na hayo ndiyo ni matokeo yake. Kama mwanamke anafanya kazi na anazo hela zake, kwa nini nimlipie kila kitu? Wabahili ndo nyie wanawake, mnataka mishahara lakini bado hamtaki kutumia hela...
  8. B

    Tabia zake utata mtupu

    Hivi wote mnasema huyu kaka ni muongo lakini huyu dada aliyeanzisha thread je? Mimi nachukia sana wanawake wanaodanganya kuhusu kupata mimba, ni uongo mbaya sana. Ni unafiki kumsema mwenzako kwa kuwa muongo wakati wewe mwenyewe ni muongo. Wanawake acheni hiyo tabia chafu ya kupima wanaume kwa...
  9. B

    Hivi nyie wanawake mna shida gani?

    Nani kasema wanawake walipie kila kitu? Kama baba na mama wote wanafanya kazi, inatakiwa washirikiane kulipia bili na madeni. Na kila mtu achangie kutokana na uwezo wake na kiasi cha mshahara anaopata. Shida iko wapi? Wewe kama mwanamke ukitaka kulipiwa kila kitu kwa nini ufanye kazi? Si ubaki...
  10. B

    Hivi nyie wanawake mna shida gani?

    Kuna upuuzi mtupu hapa. Hakuna majukumu ya kike wala kiume, labda kwenye mambo ya kuzaa TU ambayo kweli kuna ishu za kibaiolojia ndani. Nani kasema kulipia nyumba ni jukumu la kiume? Wewe unaongea mambo ya utamaduni, na utamaduni unabadilika kila mara. Nyie wanawake mnataka haki sawa, kumbe...
  11. B

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    Hebu niambie mtu ametoka kwenye familia masikini kabisa na hawamsomeshi, atafanya vipi hivi vitu vyote? Naona watu hapa JF ndo watu wenye uwezo kidogo na si kama wananchi wa kawaida. Labda mmesahau kwa sababu mnaishi Dar au mji mwingine kwamba kuna watu wenye shida mbaya sana. Je, unaona ni sawa...
  12. B

    Jinsi ya kumpiga mke

    Unafikiri kupiga ndo kunaonyesha upendo? Siwezi hata kukujibu kitu tena maana mtu anayeongea huu ushenzi wa hali ya juu inaonekana umeshaathirika kabisa kuwa mkatili.
  13. B

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    Hivi vitu vyote kabla ya miaka 30? Unrealistic and ridiculous standards to hold anyone to.
  14. B

    Jinsi ya kumpiga mke

    Kumpiga mwanamke inamaanisha wewe mwanaume umeshindwa kutumia akili wala busara. Hakuna matatizo ambayo suluhisho yake ni vipigo, hata siku moja.
  15. B

    mke wa mtu hanihongi tena

    Ndo biashara yako ya umalaya umeisha itabidi umtafute mteja mwingine
Back
Top Bottom