mke wa mtu hanihongi tena

mke wa mtu hanihongi tena

Keshakuambukiza vidudu huyo.. anakuandalia fungu la mwisho la diet then akwambie umkome.. kama unabisha nenda kapime
 
Kuna post ya binti anatafuta mume humu ndani, ana kazi yake kabisa hivyo usihofu, jaribu kum PM usije kufa njaa mjini, maana kipato chako mwili wako.
Akikuzingua nenda zako hata uwanja wa fisi, maana ulipofikia huwez shindwa kujiuza
 
wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

hunataka ushauri gani nahunajua kabisa mungu hapendi huwo uchafu huliokuwa mnafanya (KIJANA HUNA AKILI) husirudie tena kuhandika huu hupuhuzi hii sio FACEBOOK
 
wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu
Sitegemei mtu na akili zake atambe hadharani kwamba anatembea na mke wa mtu. Ama atakua anatania tu na kutafuta umaarufu au atakua kichaa..!! Hiyo ni dhambi kubwa ambayo hata Mungu hawezi kukusamehe kwa sababu YEYE Mungu hadhulumu haki ya mtu. Kama kweli utafanya hivyo jutia kutoka mda huu, ili kuepusha maisha yako. Vinginevyo hakuna mtu atakushauri positively kama ambavyo ungetegemea. Hata hao masharobaro wenzako hawataku-support kwa hili. Ngoja ukue, utie akili, umiliki wa kwako, ndio utajua ni kwa kiwango gani ulikuwa unafanya dhambi hii. Period
 
mwuulize mshahara wako wa kila wiki....ukizoea kuhongwa jiandae kugegedwa
 
Kila mtu ana haki ya kusema atakacho mradi havuki mipaka
Hapa nimetoa duku duku langu kama unaona uzi haufai basi pita pembeni
 
Labda anataka kukununulia gari

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ukija shikishwa ukuta twambie mabasha wa kukulea pia tupo.
 
wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu
Keshapata mwenye mapafu ya mbwa anachapa hadi bibie anatapika
 
lolz..................................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S-fire1:
 
Ndo biashara yako ya umalaya umeisha itabidi umtafute mteja mwingine

wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu
 
Back
Top Bottom