Recent content by bronze

  1. bronze

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongereni sana mlioitwa kazini, ambao bado tuendee kuwa na imani
  2. bronze

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Sema kuna watu wana bahati, asubuhi asubuhi tu unakutana na li pdf huko lina jina lako sipati picha hiyo raha yake
  3. bronze

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    😂 aisee ila haya maisha, kuna muda nawaelewa watumishi wanaojiona makazini, sababu mambo ni magumu sana kwa ground ukiwa hauko kwenye mfumo tayari Unakuwa unahisi dunia yote umeibeba wewe, unakuwa unahisi umebaki peke yako inakulazimu uchungulie kwenye portal kila muda kuona kama kuna miujiza...
  4. bronze

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    😁😁😁 ndo hivyo mkuu na mimi kwenye hilo swali nilikumbuka jina tu, ilibidi kwanza nipewe maji ya kunywa
  5. bronze

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Dah natamani na mimi ningekuwa nasubiri pdf kwa shauku ila oral ya April nilizingua vibaya mno mle ndani nahisi panelists walinicheka sanaa nilivyotoka😁😁😁
  6. bronze

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuwa at the lowest point of your life ukahisi kabisa hapo ndio mwisho lakini ukaja kufanya au ikafanyika comeback ya kibabe sana? Tueleze

    Uzi tayari, karibuni kwa michango na wengine tujifunze kuhusu maisha
  7. bronze

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

    Vipi kuhusu Joe Biden sio mkatoliki?
  8. bronze

    JamiiForums Tanzania Papa amvua Upadri Padri Munyeshyaka kwa kukiri kuzaa mtoto wa Kiume

    Usijifanye mjuvi kwa kitu ambacho hukijui, ni ushauri tu
  9. bronze

    JamiiForums Tanzania Chuo cha SAUT kinara ufaulu Shule ya Sheria

    Shida sio idadi, Shida ni kwamba chuo kinachodharaulika kimeweza kufurukuta mbele ya magiant,
  10. bronze

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Hahah me nawatetea tu mabroo, hiyo namba hata sijaikaribia
  11. bronze

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Wewe hii umeitoa wapi, lete andiko, research au chapisho
  12. bronze

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Na unaanzia umri gani?
  13. bronze

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Mwanaume hana pressure ya umri wewe, Kuna jamaa wako kwenye 50's wanakula maisha hao vijana hawaoni ndani... Mfano mzuri Maulid Kitenge yule jamaa ana drip hatarii, mitoko yake we huoni ndani na ukikaa vibaya na kidem chako anakuchukulia, au Jakaya Kikwete yuko kwenye 70's ila nina uhakika...
  14. bronze

    JamiiForums Tanzania Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
Back
Top Bottom