Mwanaume hana pressure ya umri wewe, Kuna jamaa wako kwenye 50's wanakula maisha hao vijana hawaoni ndani...
Mfano mzuri Maulid Kitenge yule jamaa ana drip hatarii, mitoko yake we huoni ndani na ukikaa vibaya na kidem chako anakuchukulia, au Jakaya Kikwete yuko kwenye 70's ila nina uhakika...
Maghorofa ya dodoma mengi ni ya serikali ila mwanza mengi ni private huoni hata tofauti, ukiona sehemu inajengwa na private sector zaidi kuliko serikali obvious hiyo sehemu inakuwa bora kwa kila kitu hamna kichaa anaeweza kuinvest sehemu ya ajabu ajabu
Sasa project za serikali zikiisha eg. Majengo ya wizara nk na dom ndo utakuwa mwisho wake! Mwanza imejijenga na inaendelea kujijenga kwa hiyo sahau kuja kupitwa na mji wowote hapa tz ukitoa dar
Dah unatia huruma mkuu, yani mwanza yenyewe hata upewe wiki huimalizi
Mfano tu kutoka buhongwa ambayo ni nyamagana mpaka kayenze ambayo ni manispaa ya ilemela lazima utumie siku nzima kusafiri na hapo bado uko ndani ya jiji imagine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.