Recent content by bronze

  1. bronze

    Ulishawahi kuwa at the lowest point of your life ukahisi kabisa hapo ndio mwisho lakini ukaja kufanya au ikafanyika comeback ya kibabe sana? Tueleze

    Uzi tayari, karibuni kwa michango na wengine tujifunze kuhusu maisha
  2. bronze

    Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

    Vipi kuhusu Joe Biden sio mkatoliki?
  3. bronze

    Papa amvua Upadri Padri Munyeshyaka kwa kukiri kuzaa mtoto wa Kiume

    Usijifanye mjuvi kwa kitu ambacho hukijui, ni ushauri tu
  4. bronze

    Chuo cha SAUT kinara ufaulu Shule ya Sheria

    Shida sio idadi, Shida ni kwamba chuo kinachodharaulika kimeweza kufurukuta mbele ya magiant,
  5. bronze

    Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Hahah me nawatetea tu mabroo, hiyo namba hata sijaikaribia
  6. bronze

    Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Wewe hii umeitoa wapi, lete andiko, research au chapisho
  7. bronze

    Mwisho wa Ujana ni miaka 35 tu, zaidi ya hapo wewe ni Mzee

    Mwanaume hana pressure ya umri wewe, Kuna jamaa wako kwenye 50's wanakula maisha hao vijana hawaoni ndani... Mfano mzuri Maulid Kitenge yule jamaa ana drip hatarii, mitoko yake we huoni ndani na ukikaa vibaya na kidem chako anakuchukulia, au Jakaya Kikwete yuko kwenye 70's ila nina uhakika...
  8. bronze

    Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
  9. bronze

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Maghorofa ya dodoma mengi ni ya serikali ila mwanza mengi ni private huoni hata tofauti, ukiona sehemu inajengwa na private sector zaidi kuliko serikali obvious hiyo sehemu inakuwa bora kwa kila kitu hamna kichaa anaeweza kuinvest sehemu ya ajabu ajabu
  10. bronze

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Huwa naimagine tu siku mwanza ikipigwa nje 6 toka usagara(misungwi) mpaka mjini na hii battle ndo itakuwa imeisha
  11. bronze

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Sasa project za serikali zikiisha eg. Majengo ya wizara nk na dom ndo utakuwa mwisho wake! Mwanza imejijenga na inaendelea kujijenga kwa hiyo sahau kuja kupitwa na mji wowote hapa tz ukitoa dar
  12. bronze

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Dah unatia huruma mkuu, yani mwanza yenyewe hata upewe wiki huimalizi Mfano tu kutoka buhongwa ambayo ni nyamagana mpaka kayenze ambayo ni manispaa ya ilemela lazima utumie siku nzima kusafiri na hapo bado uko ndani ya jiji imagine
  13. bronze

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Hahah unachekesha sana mkuu ndo nini hizi
Back
Top Bottom