Hawa majamaa (Walokole) huwa siwaelewi vile... huwa wanafikiri wao wana hati miliki ya Mungu wakati wengine ni wapangaji tu na wala hawana thamani kabisa kwa Mungu... msipobadilika mtabaki na majivuno, majigambo na mijisifa yenu huku walio wanyenyekevu na watu wenye upendo wa kweli wakineemeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.