Mtoa Uzi kama tulikuwa tunafikiria sawa..nilipita sehemu / sinaga muda wa kufuatilia madudu yao kwa mbali nikasikia msanii wao anaitaja Simba ..nikashangaa ..mbona Mboso aliimba zaidi ya dakika arobaini lakini hakuitaja Utopolo?
Kimsingi Utopolo wanatumia nguvu nyingi sana ili wafanane na Simba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.