Recent content by BRN

  1. BRN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Itabidi na Mimi nijiite Nangaya
  2. BRN

    Kwa Mmakonde yeyote aliyopo humu naomba msaada wa kunitafsiria wimbo huu, chilambo Cha vene!

    Kuna sehemu humu nilitafsiri..hebu nenda jukwaa la buridani unaweza kukuta. Kutafsiri hapa naogopa hoja ya tafsiri ikageuzwa kwenye Siasa.
  3. BRN

    Wapi Dar wanauza nguo za kitamaduni na kiasili kwa bei nzuri?

    Hizi nguo zinanunuliwa sana na Wazungu, hivyo bei nazo zinakuwa hivyo. Nenda pale Makumbusho ya Taifa Posta utapata hitaji lako.
  4. BRN

    FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Mimi nasubiria kusikia kama Pilau limeshaletwa uwanjani ndio naanze kwenda
  5. BRN

    Tetesi: Joao Mota Maria Kocha Mpya Yanga, Ni Raia Wa Ureno

    Shamba la bibi..anakuja kupiga pesa aondoke zake kabla ya Pasaka
  6. BRN

    Tetesi: Joao Mota Maria Kocha Mpya Yanga, Ni Raia Wa Ureno

    Mliwacheka Simba kwa Debora..na nyie sasa Maria
  7. BRN

    Pira pantev maoni yangu

    Mwisho wa siku?
  8. BRN

    Simba Sc 3-0 Namungo Fc l NBC premier League lBenjamin Mkapa Stadiuml 1 October 2025

    Kuna shida gani?..ndio maana ya timu
  9. BRN

    Edo Kumwembe: Kuingia uwanjani saa nne asubuhi wakati mechi inachezwa saa kumi na moja jioni ni mateso

    Ila hao walioenda mapema sijawasikia wakilalamika..labda huyo Edo nae awe tayari yupo uwanjani...asiwalishe watu maneno.
  10. BRN

    Kama ule ndio mpira wa Simba, natamani ifungwe kesho ili Fadlu afukuzwe

    Mkiwa mnaweka Mada kama hizi muwe mnaambatisha na vyeti vyenu vya Ukocha au Uchambuzi
  11. BRN

    Ni Yanga Day lakini kama ulikuwa mtu makini kufatilia, Simba imetajwa mara nyingi zaidi

    Mtoa Uzi kama tulikuwa tunafikiria sawa..nilipita sehemu / sinaga muda wa kufuatilia madudu yao kwa mbali nikasikia msanii wao anaitaja Simba ..nikashangaa ..mbona Mboso aliimba zaidi ya dakika arobaini lakini hakuitaja Utopolo? Kimsingi Utopolo wanatumia nguvu nyingi sana ili wafanane na Simba.
Back
Top Bottom