Recent content by BRN

  1. BRN

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    Dalili za muamko wa kiroho lutegemeana na Imani/dini yako.
  2. BRN

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    Sio kitu cha kupuuzia..malaika wako kuna ujumbe wanakupatia..hizo zinaitwa namba za Malaika. Fuatilia kwa karibu Kila uzionapo..hebu mfano wa namba nakuambie ujumbe uliokuwa unnambiwa. 05:05 Malaika wako anakupa taarifa kwamba mabadiliko makubwa yanaenda kutolea kwenye maisha yako,kuwa tayari...
  3. BRN

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    Sio kitu cha kupuuzia..malaika wako kuna ujumbe wanakupatia..hizo zinaitwa namba za Malaika. Fuatilia kwa karibu Kila uzionapo..hebu mfano wa namba nakuambie ujumbe uliokuwa unnambiwa.
  4. BRN

    Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

    Prada ipo?hili ni jina la jumla lakini kuna aina zaidi ya 10
  5. BRN

    Je, Unaitaji Kumiliki Simu Ya Ndoto Yako Kwa Bei Nafuu? Usiache Kupitia Huu Uzi

    Simu za aina zote ×× Simu za aina mbalimbali✓
  6. BRN

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mwanza Nyamagana

    Ukubwa 65* 15 nini? Ila sawa umesema hakijapimwa
  7. BRN

    Watanzania waliopata umaarufu wa ghafla mitandaoni na kisha kupotea

    Ongeza na Hawa. # yule wa uokozi wa abiria wa ajali ya ndege Bukoba. # Yule dogo wa Bukoba aliemshitaki Baba yake polisi..kwa sasa anasoma huko Kilimanjaro.
  8. BRN

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Umri wako? ?
  9. BRN

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    DON Dan Zwangendaba hakusikia ushauri wako au hakuhudhuria kikao
  10. BRN

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Naomba muulizie kama tayari anayo Redmi Turbo 3.. Harry Potter version ya 12-16/512-1T na bei yake tafadhali
  11. BRN

    Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

    Na Bado..siku utakuja kuanzisha uzi wa kuulizia gharama za kupima DNA
  12. BRN

    Mali, Pesa na Nyumba. Vya (Baba & Mama/ Mke)

    Kwahiyo sisi tufanyaje..tungewafahamu hao ndugu zako tungekusaidia kuwafahamisha. Ila wewe Mali zako watarithi.
Back
Top Bottom