Recent content by BRN

  1. BRN

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Itabidi na Mimi nijiite Nangaya
  2. BRN

    JamiiForums Tanzania Kwa Mmakonde yeyote aliyopo humu naomba msaada wa kunitafsiria wimbo huu, chilambo Cha vene!

    Kuna sehemu humu nilitafsiri..hebu nenda jukwaa la buridani unaweza kukuta. Kutafsiri hapa naogopa hoja ya tafsiri ikageuzwa kwenye Siasa.
  3. BRN

    JamiiForums Tanzania Wapi Dar wanauza nguo za kitamaduni na kiasili kwa bei nzuri?

    Hizi nguo zinanunuliwa sana na Wazungu, hivyo bei nazo zinakuwa hivyo. Nenda pale Makumbusho ya Taifa Posta utapata hitaji lako.
  4. BRN

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Mimi nasubiria kusikia kama Pilau limeshaletwa uwanjani ndio naanze kwenda
  5. BRN

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Joao Mota Maria Kocha Mpya Yanga, Ni Raia Wa Ureno

    Shamba la bibi..anakuja kupiga pesa aondoke zake kabla ya Pasaka
  6. BRN

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Joao Mota Maria Kocha Mpya Yanga, Ni Raia Wa Ureno

    Mliwacheka Simba kwa Debora..na nyie sasa Maria
  7. BRN

    JamiiForums Tanzania Pira pantev maoni yangu

    Mwisho wa siku?
  8. BRN

    JamiiForums Tanzania Simba Sc 3-0 Namungo Fc l NBC premier League lBenjamin Mkapa Stadiuml 1 October 2025

    Kuna shida gani?..ndio maana ya timu
  9. BRN

    JamiiForums Tanzania Tumsaidie coach wa Yanga kupata first 11 yake

    ****
  10. BRN

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe: Kuingia uwanjani saa nne asubuhi wakati mechi inachezwa saa kumi na moja jioni ni mateso

    Ila hao walioenda mapema sijawasikia wakilalamika..labda huyo Edo nae awe tayari yupo uwanjani...asiwalishe watu maneno.
  11. BRN

    JamiiForums Tanzania Kama ule ndio mpira wa Simba, natamani ifungwe kesho ili Fadlu afukuzwe

    Mkiwa mnaweka Mada kama hizi muwe mnaambatisha na vyeti vyenu vya Ukocha au Uchambuzi
Back
Top Bottom