Recent content by Brightdeemed

  1. Brightdeemed

    Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

    Ukweli nimefarijika sana kwamba huu ni udhaifu wa wengi, yani huwa inafika wakati nammisi bimkubwa, nawamiss sana ndugu zangu ila siwapigii simu. Sijui nifanye nini kubadili hii hali
  2. Brightdeemed

    Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

    Bukyanagandi, Yani maprofesa wa Tanzania, walio wengi ni watu wahovyo sana, hata kama hapakuwa na mapatano, kitendo cha Kigwa kujitokeza hadharani kuzungumza kwa namna kuondoa mgogoro ilikuwa ni hekima kubwa, lakini approach ya huyu profesa kuendeleza mjadala wa mgogoro, sio tu nikumkosea...
  3. Brightdeemed

    Nguvu ya saikolojia

    Content kubwa sana hii, ubarikiwe ndugu kwa ku share
  4. Brightdeemed

    Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

    Kwani yapi ndio Mavazi ya kanisa’
  5. Brightdeemed

    Dr. Mpango na TRA, huu ni Uhujumu Uchumi!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Brightdeemed

    Rais Magufuli kayafanya haya, kwanini haturidhiki naye?!

    Kudoz to him, sema ungetilia mkazo hapo kwenye “ndani ya miaka 3 tu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Brightdeemed

    Rais Magufuli kuzindua barabara iliyowahi kuzinduliwa na Rais Kikwete; nini tafsiri yake?

    Kuna watu tabia yao ni kiherehere, hivi huwa mnawashwa nini? tuachieni rais wetu atutumikie. #tiredofthiskindofcrap
  8. Brightdeemed

    Utupu wa William Malecela: Je, tunaweza kuwaza tofauti?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshanaa wekiboko asee
  9. Brightdeemed

    Meli kubwa ya Jeshi la China yenye Hospitali inayotoa huduma za upimaji, upasuaji na kutibu magonjwa bure yawasili Dar

    Makonda anajua namna ya kuvuna baraka za Mungu, asiye elewa maana haambiwi maana
Back
Top Bottom