Ukweli nimefarijika sana kwamba huu ni udhaifu wa wengi, yani huwa inafika wakati nammisi bimkubwa, nawamiss sana ndugu zangu ila siwapigii simu. Sijui nifanye nini kubadili hii hali
Bukyanagandi,
Yani maprofesa wa Tanzania, walio wengi ni watu wahovyo sana, hata kama hapakuwa na mapatano, kitendo cha Kigwa kujitokeza hadharani kuzungumza kwa namna kuondoa mgogoro ilikuwa ni hekima kubwa, lakini approach ya huyu profesa kuendeleza mjadala wa mgogoro, sio tu nikumkosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.