Tatizo la hiki kipindi nafikiri management imekosea kuacha hiki kipindi cha bibi zetu kuendeshwa na kitukuu.unafikiri kuna maadili yatapatikana hapo?...unaacha bibi anasema ..hey! Hey! Whatssap ma nigga!???
Huyo atakuwa amekiuka sheria ya kwao inayowataka kuzaa watoto wawili tu,kwakuwa kwetu hatuna limit hata upige 20 ni wewe tu,ndiyo sababisha mchina kaipenda tz.
ule utaratibu wa askari wenye silaha kuwepo kwenye makutano ya barabara za mataa uliishia wapi au ndo wanaondolewa baada ya ishu kupita ndo wanarudishwa?
wanafunzi wa kipaji maalum mzumbe wameandamana wakielekea kwa mkuu wa mkoa ili kumuelezea matatizo yao ambayo yamekuwa yakipuuzwa na uongozi wa shule na hivyo kupelekea kufungwa kwa muda barabara Morogoro lringa kabla ya kuzuiwa na askari.source redio one breaking news
bado kijana mdogo sana family na taifa lake lilikuwa bado inamtegemea.Vijana acheni kushabikia mambo amboyo baadae yanawaletea simanzi wazazi wenu...R.I.P
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.