Recent content by brainiac89

  1. brainiac89

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    Sijasoma UDSM lakini bado naheshimu uwepo wake na elimu inayopatikana pale. Unayesema mitihani ni migumu bado sipati picha vizuri kama uko sawa kiakili, kwenye ugumu ndipo mafanikio yalipo. Onyesha kwamba unajua na unafanya unachokijua sio husomi, unapuyanga mjini unategemea anayekufundisha...
  2. brainiac89

    Ya JWTZ, Hakuna adui wala rafiki wa kudumu...

    Uwe na amani kabisa kiongozi, zile ni zana chache sana na tena ni common kwa majeshi mengi. Jeshi liko sawa na linajua nini linafanya wakati wa maonyesho, hata nchi nyingine wanafanya hivyo kwa wananchi wake katika maadhimisho mbalimbali. Jeshi liko thabiti na ni mbinu tu ndiyo zinafanya nchi...
  3. brainiac89

    Usiombe kukutana na jambazi akiwa kazini..!

    Nina wasiwasi hao watatu watakua wenzao na ndio waliokua wanawapa mchongo.
  4. brainiac89

    Must see Movies

    In hell ya Jean Claude Van Damme olympus has fallen, big mike, a walk to remember
  5. brainiac89

    Ndege ya Malaysia A/line yapoteza mawasiliano

    Flight 370: Stolen passports raise concerns http://www.cnn.com/2014/03/08/world/asia/malaysia-airlines-missing-passports/index.html
  6. brainiac89

    Ndege ya Malaysia A/line yapoteza mawasiliano

    "China sends two rescue ships to South China Sea to search for missing Malaysia Airlines jet, state-run CCTV says." -- CNN www.cnn.com
  7. brainiac89

    Nchi yangu Tanzania

    Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote
  8. brainiac89

    Nchi yangu Tanzania

    Mungu ibariki Afrika Wabariki Viongozi wake Hekima Umoja na Amani Hizi ni ngao zetu Afrika na watu wake. Chorus: Ibariki Afrika, Ibariki Afrika Tubariki watoto wa Afrika. Mungu ibariki Tanzania Dumisha uhuru na Umoja Wake kwa Waume na Watoto Mungu Ibariki Tanzania na watu wake. Chorus: Ibariki...
  9. brainiac89

    Nchi yangu Tanzania

    Wimbo wa Taifa, Wimbo wa Uzalendo (Tanzania Nakupenda) na Tazama ramani
  10. brainiac89

    Siasa za Tanzania Katika Njiapanda kuelekea kusikotamanika!

    Kwa ufafanuzi ulioutoa inaonyesha kabisa watanzania tuna safari ndefu kufika nchi ya ahadi, asilimia kubwa ya watanzania hatuyaangalii haya yanayoendelea kisiasa kwa jicho la tatu bali tunayaangalia kishabiki, hii itaendelea kututafuna kizazi hata kizazi kwa sababu hatujasimama kutaka kujua nini...
  11. brainiac89

    Unapoondokewa (kufiwa) na wazazi wako

    nimesoma uzi huu nikapata hisia kali. Nimefiwa na wazazi wangu wote wawili this year (2012) kwa wakati mmoja na siku moja ni kitu kigumu kidogo kueleza but atleast mtanielewa, and nilikua wa kwanza kwenda kutambua miili kama ni yao kweli. It pains a lot aisee but through GOD the Almight Father...
  12. brainiac89

    Mke wangu ameniomba nimtaftie mwanamume wa kumliwaza

    wewe ndio mwenye matatizo, sio mkeo wala mama yako! Umeshindwa kusimama kama baba na mwenye nyumba katika familia yako! Kazi unakimbia matatizo kwa ulabu!
  13. brainiac89

    Mke wangu ameniomba nimtaftie mwanamume wa kumliwaza

    kumbe mawazo yako mgogoro hvyo!
  14. brainiac89

    Mke wangu ameniomba nimtaftie mwanamume wa kumliwaza

    dah! Nikwambie kitu bro! Huyo mkeo ni wa maana sana! Familia yako kwanza mengne yanafuata! Kwa upeo mdogo wa kufikiria mama yako ni mshari sana! Angalia bomu unalotengeneza litakulipukia
  15. brainiac89

    She wants to Abort..!!!?

    me nina mawazo tofauti kidogo! Inawezekana hyo mimba sio yako so anataka kupoteza ushahidi, watch out! Bt truly sijafurahishwa na utoaji wake wa mimba
Back
Top Bottom