Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa kiume natokea mkoa wa Arusha. Ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya Kazi yoyote halali kwa mkoa wa Arusha tupeane. Elimu yangu in Shahada ya Uhasibu na Nina uzoefu wa miaka 2 kwa nafasi ya uhasibu na miaka 3 kwa nafasi ya Afisa Masoko kwenye kampuni...
Naomba nikusahihishe kuwa na wasiwasi sio kulazimisha kitu. Its simply taking precautions. Kumbuka huyu ni mwanamke ambaye nataka siku moja nije nijicommit nae for the rest of my life. Sasa kama huu usaliti umeanza mapema hivi tutafika kweli? Na swala la mm kucheat dont be easy to charge simply...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.