Recent content by Boykaa

  1. B

    Nafasi ya kazi manispaa ya Kinondoni ukusanyaji wa anwani za makazi na postikadi

    Mkuu naomba ufafanue mchanganuo wa haya malipo. Wanalipa kwa siku kiasi gani? Na ziezi litachukua muda gani
  2. B

    Ukiitwa kwenye usaili wa Utumishi wa Umma, Jipange

    Habari yako mkuu. Naomba Kama una notes nzuri za research unisaidie?
  3. B

    Ukiitwa kwenye usaili wa Utumishi wa Umma, Jipange

    Habari yako mkuu. Naomba Kama una notes nzuri za research unisaidie?
  4. B

    Natafuta kazi, nina elimu ya kidato cha nne

    Hata mm naungana na ww kutafuta kazi
  5. B

    Natafuta kazi yoyote mkoa wa Arusha

    Mkuu una connection unisaidie?
  6. B

    Natafuta kazi yoyote mkoa wa Arusha

    Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa kiume natokea mkoa wa Arusha. Ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya Kazi yoyote halali kwa mkoa wa Arusha tupeane. Elimu yangu in Shahada ya Uhasibu na Nina uzoefu wa miaka 2 kwa nafasi ya uhasibu na miaka 3 kwa nafasi ya Afisa Masoko kwenye kampuni...
  7. B

    Kubadilishana Vituo vya kazi

    . Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Mbona wenzake wanaikubali show yangu?

    hahah..kama jina lako vile, kweli ww clueless
  9. B

    Pombe imevunja ndoa yangu

    hahhahah..mkuu nimecheka sana
  10. B

    Kutongozwa na mpenzi ambaye mmeshaachana (ex)

    Hapo kwenye mpenzi wangu wa JF nakupenda sana, ushaua ndege sita kwa jiwe moja
  11. B

    Intelijensia TISS ni walinzi binafsi wa Rais?

    Huu uzi umekaa kimkakati zaidi, kuna kitu mleta mada anajaribu kutaka kukijua?
  12. B

    Mpenzi wangu amenisaliti na mzazi mwenzake! Nina wasiwasi ataendelea kunisaliti naye

    Naomba nikusahihishe kuwa na wasiwasi sio kulazimisha kitu. Its simply taking precautions. Kumbuka huyu ni mwanamke ambaye nataka siku moja nije nijicommit nae for the rest of my life. Sasa kama huu usaliti umeanza mapema hivi tutafika kweli? Na swala la mm kucheat dont be easy to charge simply...
Back
Top Bottom