Mbona wenzake wanaikubali show yangu?

Mbona wenzake wanaikubali show yangu?

So wanawake wote hurizishwa kwa kusimania kucha kaka wengine kuna badi ya sehemu ukicheza nazo ndoanaridhika
 
Huyo dem lazma mahusiano yake ya nyuma alikua anaendea chumvin,sasa jamaa kama haend chumvin ndomana dem anasema haridhishw,mwambie aache kinyaa azame uvinza af apige hiyo shoo aone
 
Tawala unapoheshimika. Ukitawala usipoheshimika utaishia kuzomewa.
Well said, wanaume wanaacha wanawake wanaowapenda kwa dhati na kuwaheshimu wanaangalia maumbile tu, yule anayekulilia ndo kakubali show yako na utadumu nae. Ila anaye rudia rudia kukwambia haridhiki ni ngumu kumtawala keshakudharau.
Hatupendagi karaha jamani acheni hiyo mi chips mtupe raha ya uumbaji.
 
Hivi mwanamke utaanzaje kutamani mwanaume apite nyuma? Kweli? Inauma sana, maana hata kuna wanaume wanapenda mchezo huo yaan nawaza hivi kwa mfano mwanaume anitamkie anataka huo ujinga sijui nitamfanyaje?

Mungu kwa nini unachukuwa watu kwenye faida duniani unaacha hawa wajingawajinga?
Thumb up mkuu
 
Hivi mwanamke utaanzaje kutamani mwanaume apite nyuma? Kweli? Inauma sana, maana hata kuna wanaume wanapenda mchezo huo yaan nawaza hivi kwa mfano mwanaume anitamkie anataka huo ujinga sijui nitamfanyaje?

Mungu kwa nini unachukuwa watu kwenye faida duniani unaacha hawa wajingawajinga?
Bado sijaelewa na wala sitakagi kuamini,hivi kabisa Dada anaomba aingiliwe kinyume cha maumbile???
Kweli tujiulize kwanini Mungu hawachukui hawa
 
Best kanipa hili swali jana usiku nimeshindwa kumpa jibu,eti ana mademu watatu ila katika hao anaempenda kwa dhati ni mmoja tu tena anavyomsifia anakwambia huyo demu ana sifa zote zinazohitajika mpaka chura ndio usiseme tena yu tayari hata kumuoa.kasheshe ipo pale mahala kwenye kale kamchezo anaseme huyo demu anaempenda yeye kila siku analalamika hamridhishi yaani jamaa anajitahidi kusimamia kucha lakini wapi! Mpaka akaamua kutafuta ndondo cup Akapiga ya kwanza anakwambia alishangaaa demu anaomba poo,akahisi yule mwizi akatafuta nyingine akaipiga huyo ndo akamwambia we unakunywa madawa si bure! Jamaa akachanganyikiwa sasa hivi ameamua kukaa mbali na yule demu na akijisikia hamu anatumia ndondo tuu ila anampenda sana yule demu.wadau samahani leo nimeandika uzi mrefu kwa sababu huu ni ushuhuda wa kweli kabisa jamaa anataka kumuoa yule demu ila anahisi akimuoa wakati ameshindwa kumtimizia haja zake ataolea wanaume wenzake,ananiuliza tatizo ni yeye au yule demu.Asbh njema tukafanye usafi.
Huyo hatammudu labda awe anashinda nyumbani akisafiri ahakikishe anadafiri naye.
 
Mwambie atume vipimo vya kibamia chake urefu na mzunguko ili tukadirie tatizo ni la nani.
 
Hiyo kamwambia hiyo mwanaume ukweli ingawa unauma, hao wengine wako kimaslahi zaidi kuna wanawake wako Na unafiki sana
 
Back
Top Bottom