Hongera juhudi za mwakyembe tumeziona bado DK Mwinyi na wizara yako ya Afya MSD wanangoja nini ofisini na sasa kila mtu kaamua kuchukua chake mapema DODOMA vifaa vya mamilioni vimechomolewa toka bohari na jamaa kwa kulindana utasikia wahusika wamehamishiwa mkoa mwingine angalia Mwinyi kaa na...
maelezo ya uhakika ni yale ya mwanzo yaliyobaki ni yakufundishwa ili ajiokoe hata ukimuuliza kesho atakupa story nyingine kila kukicha mambo yatabadilika but 'Time will Tell'
maelezo ya uhakika ni yale ya mwanzo yaliyobaki ni yakufundishwa ili ajiokoe hata ukimuuliza kesho atakupa story nyingine kila kukicha mambo yatabadilika but 'Time will Tell'
All the best wape hi! wangoni wote, watengo na wapangwa wote, wape hongera kwa kuamka na kuvua shuka la magamba kata ya Lizaboni Udiwani waje wawafundishe wenzao wa temeke bado wamelala hawajui kuwa sasa kumekucha ChiChiEm basi mwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.