Nini kimempata Nassari?

Nini kimempata Nassari?

CDM jana ilishindwa kuwahudhurisha wabunge wake wapya kuapa bungeni kukwepa aibu ya kutopata coverege ya media kwani vyombo vyote vilikuwa na Kanumba....Sasa inashangaza kuwa walikuwa tayari kukiuka kanuni za Bunge kisa wantafuta muda wa kupata coverege....shame!! Hata hivyo hongera kwa Zitto walau kidogo kwa kuamua kuomba radhi kwa tukio hilo......
Nimeshindwa kupata muunganiko wa mahudhurio ya wabunge wa Chadema na suala la coverage. Ndugu mtoa mada, hivi kuapishwa kwa wabunge ni dili kiasi hicho kiasi kwamba wame-dodge ili wasubiri coverage? Mie nadhani ushindi wa mbunge ni coverage tosha kabisa, na si kuapa bungeni. Ile ya bungeni ni uthibitisho na ukaribisho tu katika nyumba. Hivi mtu kama Nassari anataka coverage gani zaidi ya ile aliyopewa Arumeru LIVE?
 
7.jpg

Duh, hayo matumbo halafu vijana...! Huyo wa kulia utafikiri tumbo limejaa shehena la matusi, kaazi kweli kweli!
 


Duh, hayo matumbo halafu vijana...! Huyo wa kulia utafikiri tumbo limejaa shehena la matusi, kaazi kweli kweli!

Matumbo yamejaa .........kutokana na wizi wa mali ya wadanganyika unaofanywa na chama chao!!
 
Una bahati sana vijana wa mjini walikuwa msibani jana.........kwa hali hii leo yangekuwa mengine

DSCF1182.JPG
 
Shukuru hawa wasamaria wema.......next time usije hapa JF na hangover ya bia za bure

DSCF1184.JPG
 
WEWE MPUUUZI TUNIONYESHE RATIBA YA KUAPISHA WABUNGE HAPA??

MICHUZI: RATIBA YA MKUTANO WA SABA WA BUNGE TAREHE 10/04/2012-21/04/2012

RATIBA YA JANA BUNGENI HAIKONYESHA KAMA KUNA KUAPISHWA WABUNGE, ULIDHNAI WABUNGE WA CHADEMA NNI VIHELE HELE KAMA NYIE MPAKA WAJIPELEKE KUAPISHWA? HUU NI UZEMBE WA SPIKA NA BUNGE LAKE.

UKIWA VUVUZELA KAMA ZA NAPE, UKIONGEA NI MATUSI TU KAMA LUSINDE, UNALALA KAMA WASIRA NA MUONGO KAMA PINDA. BASI WEWE NI MTU MHUMU SANA MILEMBE.


CDM jana ilishindwa kuwahudhurisha wabunge wake wapya kuapa bungeni kukwepa aibu ya kutopata coverege ya media kwani vyombo vyote vilikuwa na Kanumba....Sasa inashangaza kuwa walikuwa tayari kukiuka kanuni za Bunge kisa wantafuta muda wa kupata coverege....shame!! Hata hivyo hongera kwa Zitto walau kidogo kwa kuamua kuomba radhi kwa tukio hilo......
 
CDM jana ilishindwa kuwahudhurisha wabunge wake wapya kuapa bungeni kukwepa aibu ya kutopata coverege ya media kwani vyombo vyote vilikuwa na Kanumba....Sasa inashangaza kuwa walikuwa tayari kukiuka kanuni za Bunge kisa wantafuta muda wa kupata coverege....shame!! Hata hivyo hongera kwa Zitto walau kidogo kwa kuamua kuomba radhi kwa tukio hilo......

Hizi tafsiri zenu zingine bwana zina bore kweli, we nani kakwambia Chadema wapo after media? suala la kuapishwa kwa hao wabunge wao kwa ninavyo wajua Chadema hicho kwao ni kitu kidogo sana wala hakina impact kwenye mass hata kidogo, Ubunge kijana ameisha upata (I mean Joshua Nassari, kwasababu nadhani yeye ndo anaye waumiza sana mioyo yenu) sasa wajisumbue nini na suala la kuapishwa?

Nadhani kwa shutuma zako hizo ulipaswa uzipeke TBC1 ambao waliacha kutangaza habari za Bunge na wakakimbilia mazishi, labda kwasababu mgombea mwenza wa CCM alikuwa huko pia, (siwezi kumwita makamu wa rais wakati sijui kama hata huwa anafanya hayo ya umakamu)
 
Back
Top Bottom