Recent content by bosha

  1. B

    Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

    ikiwa tayari wapiti profile za mapresida wastafu atakayekutwa mchafu zaidi awe mfano kwa taifa.
  2. B

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    haaahaaaaaaa nimekusoma unamawazo ya kijinga sana, kudhani kuwa mbowe ndo tatizo unajidanganya. cdm ni chama chenye dira hakiwezi kufa kama mnavyokiombea. hivyo vyama yenu vya wazalendo ndo mtajua hakuna uzalendo ni ubabaishaji tu. cdm iko juu hakuna chama cha kukishusha, mapinduzi wenyewe...
  3. B

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    mbagala mipango jamaa pengine kapelekwa sokoni. maana rahisi mtu kakaa kimya nini maana yake. hawa wabongo wako tayari kupoteza usimamizi kwa kitu kidogo tu.
  4. B

    Ungependa nani awe Mwenyekiti wa PAC?

    mzalendo sana kama saed kubenea
  5. B

    ACT na kushindwa kwa Kafulila

    heko kaka chama chao hicho hakina muda tutakiona chali. kiongozi mwenyewe zitto
  6. B

    Ni mambo mawili, aidha BAVICHA wamekata tamaa ama wamesusa

    umetumikia na mwisho umepewa nafasi lakini hutakaa utulie bila chadema
  7. B

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    "lazima aongee asidaiwe'', lakini hana cha ziada, kisha maliza yote yeye asubiri 25 october wananchi watamjibu. labda anataka kuwafurahisha aliokutana nao serena hoteli kabla ya kuongea na waandishi.
  8. B

    Ushindi wa Magufuli utaletwa na UKAWA

    rafiki yangu umepoteza matumaini kabisa ya ushindi, kiasi cha kuwaza udini juu ya ukawa. nataka ufahamu 1. vyama hivi hasa cdm ni chama chenye ushawishi mkubwa katika maeneo yenye ukristo zaidi 2. ni dhana potofu kwa waisilamu kuwa chama hicho ni cha wakristo, hata wewe. 3. ni ujinga wa...
  9. B

    Msimamo binafsi: Mabadiliko (Yes) Lowasa (Big No)

    he deserve to be our president pls choose YES EL. tatizo ccm haiaminiki mambo ya serkali yake hayafuati sheria, katiba hawaijari mpaka litoke tatizo, haki za msingi zinaminywa, bora wakae pembeni wajisahihishe, tunawapanda lkn hawapendeki 50yrs
  10. B

    Tamko la NEC mwisho watu 7 kurudisha fomu

    nawashangaa watu kama wewe mnaotutaka tuamini kuwa ccm ndo wanaoweza kutupa maisha bora miaka 5 ijayo ikiwa miaka zaidi ya 50 wameshindwa. kupambana na kazi ili tutoke lazima lakini mabadiliko ya kutupa mazingira wezeshi
  11. B

    Huyu mzee ajambo!?!?

    hawa wamejiandikisha kuruhusu mafuriko yapite mpaka ikulu.
  12. B

    Ukimya wa Professor Safari unamaanisha nini?

    najiuliza tangu magufuli apitishwe na kikwete, sijui sita kapotelea wapi
  13. B

    GE2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

    umejitahidi sana kuandika hisia zako za uwongo lakini hiyo haiwezekani kuishi kwa historia. bado naamini yaliyopita yamepita huu ni mwaka wa mabadiliko.
  14. B

    Wananchi kanda ya ziwa waanza kurudisha kadi za CHADEMA!

    acha uongo wew, haturudishigi.
Back
Top Bottom