mwananchit
JF-Expert Member
- Oct 13, 2008
- 242
- 296
NEC inaweza ikasema kwamba mikutano ya kampeni ihudhuriwe na watu wasiozidi 100
NEC inaweza ikasema kwamba mikutano ya kampeni ihudhuriwe na watu wasiozidi 100
Ujue muda wanatupotezea,kumbuka hata achaguliwe nan hawezi badilisha maisha yako.Pambana mwananchi makini na uitumie kura yako kumpata kiongozi bora. Achen mob physcology
Lowasa ni mgombea wa UKAWA ambayo inaundwa na vyama zaidi ya Vitatu kwa hio ni saba mara 4 unapata 28
Lubuva unaandika lakini?