katto mushumba
Member
- Oct 18, 2014
- 76
- 10
Hivi ukiwa CCM unakuwa tahaira au? Prof. Safari hatakuwaje mgombea mwenza wa Dr. Slaa wakati yeye ni mtanganyika wa Tanga na Dr ni wa Arusha? Someni acha umbumbumbu hata kama CCM mtaji wenu ni ujinga
![]()
Professor Safari akipokea fomu za Edward Lowassa aliporejesha kuwania Urais kupitia CHADEMA
Wakati professa Safari anaingia chadema na hatimaye kupewa umakamu mwenyekiti tuliwasikia vijana wa bavicha wakisema huyu atakuwa mgombea mwenza wa Slaa.
Baada ya mafuriko ya ngawira kuikumba chadema naiona ndoto ya msomi huyu kuyeyuka ghafla na haonekani kama kiongozi ndani ya chadema.
Juu ni Mbeya na ya chini ni Dar Lowassa
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
Kwa wataalamu wa saikolojia tabasamu la safari halitoki moyoni.
mdomo wa kulia umekenua kuionyesha jamii kuwa amefurahi.lakini mdomo upande wa kushoto umenuna kuashiria moyoni hafurahii!
kwa wasiofahamu ni kuwa uso waweza kugawanywa katika pande mbili yaani kulia na kushoto.ili kitu kiwe ni kweli kutoka moyoni na machoni basi pande zote lazima zikunjuke!!
Wakati professa Safari anaingia chadema na hatimaye kupewa umakamu mwenyekiti tuliwasikia vijana wa bavicha wakisema huyu atakuwa mgombea mwenza wa Slaa.
Baada ya mafuriko ya ngawira kuikumba chadema naiona ndoto ya msomi huyu kuyeyuka ghafla na haonekani kama kiongozi ndani ya chadema.
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
Kwa wataalamu wa saikolojia tabasamu la safari halitoki moyoni.
mdomo wa kulia umekenua kuionyesha jamii kuwa amefurahi.lakini mdomo upande wa kushoto umenuna kuashiria moyoni hafurahii!
kwa wasiofahamu ni kuwa uso waweza kugawanywa katika pande mbili yaani kulia na kushoto.ili kitu kiwe ni kweli kutoka moyoni na machoni basi pande zote lazima zikunjuke!!
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.
We binti, una kila dalili za upiga ramli chonganishi na muuaji wa vikongwe na albino!Kwa wataalamu wa saikolojia tabasamu la safari halitoki moyoni.
mdomo wa kulia umekenua kuionyesha jamii kuwa amefurahi.lakini mdomo upande wa kushoto umenuna kuashiria moyoni hafurahii!
kwa wasiofahamu ni kuwa uso waweza kugawanywa katika pande mbili yaani kulia na kushoto.ili kitu kiwe ni kweli kutoka moyoni na machoni basi pande zote lazima zikunjuke!!