Recent content by bosa

  1. B

    Hatimaye Umoja wa Afrika wamuita Trump na kumpatia sharti hili

    Safi sana waafrika tuwe na msimamo!
  2. B

    Unataka kununua nyumba au kiwanja? Hakikisha haya kisheria usitapeliwe

    Vipi mkuu utaratibu wa kubadli umiliki wa kiwanja process zake zipoje na je inaweza kuchukua muda gani?
  3. B

    Nilikosea kuolewa na huyu, nimekutana na perfect choice kazini

    Dada umeongea kitu cha msingi sana rafiki yangu alitokewa na kitu kama hicho na mke wake akamtamkia kuwa amepata mume wa ndoto yake ..jamaa akasononeka na akaachana nae na dada akaolewa na huyo kaka na akazaa nae mtoto 1 na bahati nzuri yule kaka hakuwahi kuoa wala kuwa na mtoto ..yule dada...
  4. B

    Nimekuwa admitted vyuo vinne niende wapi?

    Nijuavyo mimi deadline ya kuconfirm na kuwa considered kupata mkopo ilikuwa kwenye 1st round tarehe 10 October sina uhakika kama kuconfirm sasa hivi utapata mkopo Ningekushauri uende chuo pendwa UD kuna faida nyingi kule i.e. MUCE
  5. B

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Mimi nimefanya nyingi lakini hii nafikiri inaweza kupata record ya Guinnes. Nikiwa kwenye sherehe ya graduation yangu ya degree na josho langu nimevaa nikiwa nimepiga vitu nikajisikia kujisaidia nikatoka Ile nafungua mlango wa toilet demu kanifuata nyuma nikaona ni fursa, nikamsukumia ndani ya...
  6. B

    Nahitaji kwenda Korea Kusini ila sina connection yoyote, naombeni ujuzi kama kuna mtu alishawahi kwenda huko

    Korea Kusini nilishawahi kwenda huko nina rafiki wakenya wapo huko kama upo serious unaweza kuni pm nikakupa connection in short ni kuzuri sana kama Seoul, Busan, nk
  7. B

    Zitto: Serikali imekopa dola Mil 500 mwezi August 2017 kimya kimya na wanafanya siri umma usijue

    Kwani lini ulishawahi kuambiwa kuwa serikali inakopa? Lini?
  8. B

    Zitto: Serikali imekopa dola Mil 500 mwezi August 2017 kimya kimya na wanafanya siri umma usijue

    Naomba watu tufuatilie mijadala ya bunge hata Mh. Bashe aliishauri serikali kukopa haiwezi kuiginance development projects. Sasa leo imekopa ni dhambi gani? Naomba tuwe na positive altitude jamani hasa kwa mambo ya kitaifa nchi yetu ni masikini haiwezi kujitosheleza ktk kutekelwza miradi ya...
  9. B

    Je, ni jambo gani lililowahi kukutokea maishani na ukaamini Mungu yupo na anaishi kwa hakika?(Mimi lipo!)

    Mimi pia ninayo ya kwangu na kawaida nikisimulia watu huwa wanalia lakini in short nilipitia kwenye tundu la sindano. Mungu ni Mwema kila wakati Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

    Hiyo ilikuwa proved na yule gwiji wa genetics kwani alifanya utafiti na kugundua kuwa ubongo wa mtu mweusi upo chini ya kiwango ukilinganisha na ubongo wa mtu mweupe wakati anapresent findings zake nasikia mkutano ulivunjika nikiipata nitairusha ila nakumbuka ilikuwa ufaransa!
  11. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kisarawe ya Kikuvya nije Ilala ni Mwl. S/Msingi 0717 586871 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wife wangu shule ya msingi Wilaya ya Kisarawe upande wa kiluvya anataka kuja Ilala Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Kalola Primary School, Tabora. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. B

    Tanzania has become a hotbed of Kagame spies under Magufuli watch: Who is Mike Rwalinda and Hotel Kagame in Dar?

    Ila pia wanawaogopa sana Watanzania na kwa taarifa yenu wanaishi kwa tahadhari kubwa sana. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom