karibuni ktk channel yangu ya YouTube ambayo ni Kipingu TV naombeni wadau msiache ku subscribe. Hapo utapata video mbalimbali za kisiasa,michezo nk
napokea ushauri maana mi bado mwanafunzi ktk suala hili.
Bonyeza link hii ikupeleke ktk channel yangu
Kipingu TV
Mzee Mwinyi alikataa kuitwa mtukufu rais maana mtukufu ni Mwenyezi Mungu pekee na badala yake litumike neno ndugu (Rais wa Tanzania ndugu Ally Hassan Mwinyi)
Pia alisema nitakula mcicha na wananchi wangu! kwamaana na kupata shida na raha pamoja na wananchi wake.
Mungu amjaalie maisha marefu...
Hebu wataalam tupeni ushauri mzuri! channel ya YouTube yenye AdSense na content za Kiswahili ndio sababu ya kua na 0.38$?
Nina miezi takriban3 lkn kitu hakiendi sawa na traffic kubwa inaonekana Tz? je nifanyeje iwe worldwide na niweze kupata zaidi? Jinsi gani ya kutarget viewers?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.