Ndugu utakuwa unaliwa vibaya sana huko nyuma!! polisi tz hawawezi kuaminika abadan Lema yuko sahihi! Waliomuua aliyekuwa mwenyekiti wa kata ya usa river jimbo la arumeru mashariki walitoroka mbele ya makumi ya polisi mahakamani na mpaka leo hawajapatika! polisi polisi polisi wa tanzania! wamejaa...
Mioyo iliyopondeka masikini! Tusikate tamaaa,kwani kizazi kinabadilika ipo siku tutapata uongozi wenye kutujali raia na si kama huu unaomalizika na utakao anza wiki ijayo lakini pia huwezi jua pengine mzee wa hapa ni kazi tu akawa kama alivofanya P.Bother wa sauzi miaka ya 90! aliwageuka...
Halafu huu utaratibu wa kuwepo mwanya wa kuhesabu upya lazima ufutwe! Unatucheleweshea matokeo sana! Yani ni lazima uwekwe utaratibu ambao matokeo ni lazima yatoke haraka! Mwaka huu labda tutavuka salama lakini 2020 Itakuwa shida sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.