Magufuli amtembelea Dr Helen Kijo-Bisimba

Magufuli amtembelea Dr Helen Kijo-Bisimba

Wapinzani wao kila kitu ni HAPANA
Kibajaji alishalisema hili bungeni. Hata kwenye mambo yanayohitaji common sense na ubinadamu tu wao ni HAPANA kwa kwenda mbele. Sidhani kama hii ndo maana ya upinzani.
 
Embu tuongeen kwel ! Hiv maguful kafanya juhud gan zaid ya kusikia kavamia sijui wizara ya gan vile mara kaenda hosp! Mi nadhan alipofika fedha angepiga marufuk matumiz ya dola kwenye soko la ndan lkn akapita hwaaaa
Kama Lowassa Nae Anavyotafuta SIFA Sasa Ktk Media Za MIPUA Na Za Wale WAANDISHI Na VYOMBO Vya Habari Vya KINJANJA Kwa Makusudi Kutaka Kudhoofisha Juhudi Zilizoanzwa Na Rais Dr. MAGUFULI.
 
Embu tuongeen kwel ! Hiv maguful kafanya juhud gan zaid ya kusikia kavamia sijui wizara ya gan vile mara kaenda hosp! Mi nadhan alipofika fedha angepiga marufuk matumiz ya dola kwenye soko la ndan lkn akapita hwaaaa! Mi naona bla bla tu na ku divert mijadala kama zec na matokeo yaliomuweka madarakan
Kama Lowassa Nae Anavyotafuta SIFA Sasa Ktk Media Za MIPUA Na Za Wale WAANDISHI Na VYOMBO Vya Habari Vya KINJANJA Kwa Makusudi Kutaka Kudhoofisha Juhudi Zilizoanzwa Na Rais Dr. MAGUFULI.
 
Namtakia afya njema mama Kijo BI Simba apine haraka arudi kwenye majukumu yake ya kawaida......salute kwa Dr Prezidaa Magufuli kwa kwenda kumjulia hali mama yetu.
 
Kwanza Cheki vifaa vya hospitali, sijui kalazwa APPOLO-INDIA, AU AGHAKAN? HII HAIWEZI KUWA MUHIMBILI!
 
Huyu naye amekuja na style ya uzurulaji wa ndani. Hakai ikulu akafikiria nani awe waziri mkuu ama waziri. Ndiyo maana kateua mwanasheria aliyeburuzwa na Lissu wakati wa kupitisha sheria ya makosa ya mitandao.
Tunataka ajipe muda wa kujifikirisha ili aje na majibu ya kutatua changamoto za watanzania.
Hatutaki rais anayetembea/kutambaa kwa miguu toka ikulu hadi wizara/hospitali fulani. Kimsingi hata angetembea kwenye tope. Kama changamoto za watanzania zitaendelea ni kazi bure.
 
Lengo lilikuwa ni kumuua huyu mama,lakini jaribio limekwama.
 
Mbona mimi niliteguka mguu....hajaja kunitembelea hospitalini....halafu anasema....tusibaguane kweli...?
 
Awarudishe vijana wake wa kazi aliowasweka ndani wakati wakihesabu kura. Kumtembelea haitoshi
 
Kibinadamu hii ni kawaida tu, hata JK alifanya haya kwa kiwango cha kutosha.
Watanzania kwasasa hawaitaji kujua raisi kaenda kumtembelea nani, pengine ungetuambia raisi ameamua kuipitia upya mikataba ya mafuta na gesi hili lingetugusa wengi.

Nilitaka ku like nimeshindwa!!
 
Back
Top Bottom