Recent content by BOOS

  1. BOOS

    Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

    Reli ya tazara inauwezo wa kufika hadi Lubumbashi,hiyo laini ya kapiri hadi lubumbashi inafanana na hii yetu ya tazara(cape gauge).Tunachoshindwa ni maono tuu. Kama tungefunga umeme njia nzima,gharama ya uendeshaji ingeshuka na hao wateja wazambia na wakongo wangeongezeka kutumia reli yetu...
  2. BOOS

    Ushuhuda: Wauzaji wa Trekta Afrika Kusini

    Matrekta yapo mengi tu hapa Africa kusini. Unachohitaji Fanya ni kuamua uje mwenyewe ununue na uondoke nalo au uagize ambapo muuzaji atalipwa ukipokea mzigo wako. Bei za matrekta zinaendana na ubora wa trekta.
  3. BOOS

    Biashara ya mawe

    Hizo chemicals sijui Kama zipo Tanzania. Labda nikuletee toka nje
  4. BOOS

    Tuwe wakweli, ukiondoa Wahindi na Waarabu tunabakia na nini Tanzania?

    Tatizo letu kubwa ni mtazamo wetu wa kimaisha ( mindset). Tusidanganyane kuhusu IQ na vitu Kama hivo.Shida yetu ni hii tu ya jinsi tunavoyaangalia maisha.Sisi waafrika wengi tunaamini katika kuajiriwa.Tunasoma na kusomesha watoto ili waajiriwe.Wengi wetu Hatuamini katika biashara.Tunahisi...
  5. BOOS

    Siku ya kufa itakuaje utakapofukiwa chini? Mimi naogopa sana kufa

    Ni pm nikupe maelezo marefu ya kiroho na maelezo ni nini ufanye ili ufurahie maisha.
  6. BOOS

    Uraia pacha na Tanzania

    Hakuna madhara ya uraia pacha Kama sheria zikiwekwa ambazo zitadhibiti watu wenye uraia pacha wasiingie katika vitengo muhimu vya nchi Kama urais,waziri mkuu,waziri wa ulinzi,waziri mambo ya ndani,jeshi,usalama was taifa nk.
  7. BOOS

    Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

    Hizo flavor Kama vanilla zinapatikana wapi?
  8. BOOS

    Nadandia kwa mbele hoja ya Rais kuhusu bima ya afya kuwekeza kwenye viwanda vya madawa

    Tunarudi katika miaka ya ujamaa.Tunaweza anzisha viwanda kwa mifuko ya umma lakini nani ajuaye rais atayekuja baada ya Magufuli atakuaje? Je akiwa mpenda rushwa? Na je akiwa mzembe na viwanda vikafa? Au tunajuaje serikali ijayo itaamua nini? Isije ikawa tunajenga halafu raisi ajaye akaamua...
  9. BOOS

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ok the author is wrong anyway. The biggest mall in SA is fourways mall in Jo'burg which is recently extended. Fourways mall is the biggest mall in Africa. That followed by menly park in Pretoria.South Africa has 2,027 malls in total by the end of 2018.
  10. BOOS

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Unasema uongo.Menly park in Pretoria is the biggest mall in South africa
  11. BOOS

    Wafanyakazi zaidi ya 3000 wa kiwanda cha vigae cha Keda mkoani Pwani wako hatarini kupoteza kazi kutokana na kushuka kwa mauzo

    Siijui kampuni ni ya wapi.ninachojua kiwanda kipo Tz. Kwanini wasitafute masoko nje ya nchi? Wanaogopa? Au bidhaa zao ni mbovu?
  12. BOOS

    Wafanyakazi zaidi ya 3000 wa kiwanda cha vigae cha Keda mkoani Pwani wako hatarini kupoteza kazi kutokana na kushuka kwa mauzo

    Kweli pengine vipato vya raia vimepungua,au ushindani wa soko uko juu. Lakini,hivi lazima wauze bidhaa zao TZ tuu? Kwanini wasitafute soko nje? Mbona nchi nyingine zinaleta bidhaa Tz,sasa wao wanakwama wapi kuuza nje pia?Hao wafanyakazi wa kiwanda kwanini wasiishauri management ya kiwanda kuhusu...
  13. BOOS

    Hivi hii system haiwezi kutumika na Makonda na wengineo?

    Suluhisho ni kubomoa baadhi ya nyumba ili barabara na mifumo mingine Kama ya maji taka na maji safi ipite bila usumbufu.Hizo aina za vyoo visivojaa haviwezi tatua tatizo. Unafikiri hao wazungu walivoamua jenga miji kimpangilio walifanya hivyo kwasababu ya vyoo tuu? Fikiria kuhusu ajali za moto...
  14. BOOS

    Tunauaga mwaka 2019 kwa mafanikio makubwa katika sekta ya afya

    Hebu fafanua vizuri... Tanzania ina zahanati ngapi? Vituo vya afya vingapi? Hospital za wilaya na mikoa ngapi? Rufaa ngapi?
Back
Top Bottom