Kwanza ni maajabu ya Afrika tu ambapo wadhamini wa ligi wanagawa na vifaa vya michezo.... Ulaya club zina mikataba na makampuni binagsi tu... Mfano Chelsea vifaa vya michezo inapewa na nike... Mpira wa kuchezewa ligi kuu unadhaminiwa na nike... Barclays wao wanadhamini masuala mazima ya zawadi...
Umezunguka mbuyu weee.... Kwani hawamwandiki kisa Hawampendi?.. Hamuandiki sababu aliwavamia tena kwa silaha... Wakaomba msamaha kutoka kwake akakataa.... Unataka nini?...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuna utofauti kati ya mapambo ya sanamu/vitu na kuabudu vitu.... Kama ndugu mto uzi wewe ni muumini wa dini za kikristo na umeisoma biblia vizuri haswa agano la kale.... Kuna wakati wana wa israel waliambiwa wajenge hekalu nadhani ni katika kitabu cha wafalme ambacho kinaelezea mambo ya...
Kama kuna wapumbavu duniani basi wakenya mnaongoza.... Kama mnakipenda sana kingereza mbona wimbo wenu wa taifa ni wa kiswahili....
Halafu kingine....kwanini watz tuhanhaike na kingereza wakati tuna lugha yetu ya taifa?... Nyie mnatapatapa na kingereza sababu hamna lugha rasmi ya kuongea...
Wazungu walipokuja afrika...Walileta dini... Ambayo walilazimisha watt wabatizwe na kupewa jina la kwanza la kizungu na huo mfumo upo hadi leo na utazidi kuendelea...
Swali: Mheshimiwa kwani wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya huwa wanateuliwa kwa kutumia vigezo vipi..
Jibu: Mimi huwa sipangiwi... Na tena ukijaribu kunilazimisha ndo umeharibu kabisaa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.