Sawa, ila hata walitoka nje ishu ni kutomtqmbua Shein, na si kutomtambua JK. Tuhuma nying za wapinzani kwa JK ni tofauti kabisa na tuhuma ya kutomtambua kama raisi. Tena walikataa kumtambua Shein bungen kama raisi wa Zanzibar. Sijui upo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka kumbukumbu vizuri, wapinzani hawakumpinga JK bungeni, ila ni Shein. So wapinzani walikataa kumwambia Shein bungeni na sio JK.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi katika hotuba za jiwe, na wasaidizi wake wanasema kuwaminya mafisadi wa nchi hii, sambamba na hilo, nilisikia kuna mahakama ya mafisadi. Hivi mbona hawapelekwi huko tukawaona hao wanaobinywa na kufanya kodi sasa kuongezeka. Ila nasikia tu mafisadi kwenye majukwaa.
Vital Maembe yupo sahihi sana hasa ukilinganisha na alichokisema Mkuu wetu wa mkoa. Hiv ni sahihi kulinganisha taasisi kubwa dunian kama TASUBA, na kundi la wanamuziki la wasafi? Kufananisha walimu wa TASUBA, na waimbaji wa wasafi?
Mimi ninaufahamu mkubwa sana wa taasisi hii, toka ilivyokuwa...
Umenikumbusha kuna siku nimringia bar kupata angalau bia moja mbili tatu, na buku kumi yangu, ghafla nikaiutana na jamaa ambaye Mimi nilimsahau kiukweli. Jamaa alikuwa ananiangalia sana huku aliongea jambo kwa wale waliokaa nao, hofu ikanitanda. Ila baada ya dakika kadhaa, yule jamaa akaniita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.