Recent content by bonvize

  1. bonvize

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

    ...Uzee si ugonjwa na ujana si tiba...
  2. bonvize

    JamiiForums Tanzania How can I check my luck by date of birth?

    Kujua life path tu hakutoshi inabidi kwenda mbele zaidi na kujua vitu vingine vinavyohusiana na wewe kama Expression Sour urge Karmic dept Karmic lesson Growth number Maturity number Ni shule pana sana
  3. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tanzania inahitaji kiongozi kijana kama Ibrahim Traoré wa Burkina Faso

    ......uzee si ugonjwa, ujana siyo tiba.....
  4. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Nikipata muda inabidi niendelee kueleza kuhusu haya maarifa.
  5. bonvize

    JamiiForums Tanzania Katika numerology, jina la JESUS lina idadi sawa na namba '666'

    Root number ni 1,2,3,4,5,6,7,8,9 Master number ni 11, 22 na wakati mwingine 33 Mfano *root number Unapo jumlisha namba za herufi na kupata 23 hiyo haiwezi kubaki kama ilivyo cha kufanya ni 23=2+3=5 *Master number Lakini ukijumlisha namba za herufi na kupata 11, 22, 33 hizo zitabaki kama zilivyo...
  6. bonvize

    JamiiForums Tanzania Katika numerology, jina la JESUS lina idadi sawa na namba '666'

    Numerology ina misingi yake *Lazima ujuwe kuhusu root number *Lazima ujuwe kuhusu master number *Numerology ina addition na reduction hakuna kuzidisha wala kugawanya *Namba yoyote lazima irudishwe katika root number isipokuwa kwa master namba tu.
  7. bonvize

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa Dhana ya namba 786

    Kwa sisi watu wa numerology hiyo namba ni 3 786 7+8+6 =21 2+1=3 Hivyo tunaenda moja kwa moja katika maana ya namba 3, ambayo ni cha tatu kinachozaliwa baada ya viwili kuungana.
  8. bonvize

    JamiiForums Tanzania Nyota is real, kuna makundi ya nyota hayafai kabisa sio kwa urafiki, uchumba au ndoa

    Inategemea na huyo mtu amekua kiroho kwa kiasi gani, huo ni upande hasi wa capricorn. Pia huyo mtu anaweza kuwa capricorn lakini ukichambua kupitia numerology anakuwa na energy nyingine tofauti kabisa. Nyota inaweka watu pamoja lakini numerology inaenda specific kwa muhusika hivyo kufikia...
  9. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Dkt. Dotto Biteko, tunaomba andiko lako la PhD

    Maandiko siyo siri, nenda chuo na idara aliyokuwa akifanyia hayo masomo yake ya PhD utapata andiko lake.
  10. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Dkt. Dotto Biteko, tunaomba andiko lako la PhD

    Si kila masters ni lazima kufanya journal publication. Kuna namna zaidi ya moja za kufanya PhD, mtu anaweza kuchagua kufanya utafiti moja kwa moja au kukaa darasani kisha kufanya utafiti.
  11. bonvize

    JamiiForums Tanzania Namba 40 ina siri gani?

    Ndugu haya elimu ya namba (numerology) mimi uwa najifunza mwenyewe tu kupitia vitabu na machapisho ya kwenye mitandao.
  12. bonvize

    JamiiForums Tanzania Namba 40 ina siri gani?

    Kwa watu wa kawaida hiyo ni 40, lakini kwa wenye elimu ya namba hiyo ni 4. 40=4+0=4 4000=4+0+0+0=4 4 ina maana ya jiwe la msingi, maandalizi kabla ya kwenda hatua inayofata. Hivyo 4 ni ujenzi wa misingi mipya, ndio maana unaona baada ya hizo 40 kunakuwa na uelekeo mpya.
  13. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Sawa, nitakujulisha.
  14. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Mwanzo mwa uzi, utaona nimeandika sehemu ya 7.
  15. bonvize

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Nimeweka muendelezo ambao unahusu mzunguko wa maisha 9, 11 na 22.
Back
Top Bottom