asikudanganye mtu mimi naishi mwanza na boda boda na mama ntilie lowassa ndo mpango ,alafu star tv tushaishtukiaga hatunaga mpango nayo hapa ni ITV na AZAM TV kwa habari za kweli na uhakika
kwa sasa hatudanganyiki hata wasomi hatuwaamini maana wanafanya vitu kwa manufaa ya vyama cha msingi kama mtanzania ni kufanya maamuzi unayoona wewe ni sahihi siku hiyo ,haswa vyama ambavyo vina uchumi mzuri vinapenda maigizo sana
wivu ata akiongeleshwa na bosi wako,pili ni aibu pale umekosa alafu unagombezwa mbele ya mpenzi wako,na siku mkigombana hata kazini hamtasaidiana kazi vizuri kama kazi zenu zinahusiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.