Vijana wazalendoCHADEMA wamkataa Lowassa

Vijana wazalendoCHADEMA wamkataa Lowassa

Nahisi uchaguzi ukiisha robo tatu ya magamba mtaelekea mirembe hizi ni dalili mbaya sana.
 
kwa sasa ata angesimama mbowe akasema lowassa hafai mabadiliko yako pale pale endeleeni kufanya maigizo mkidhani mtatuyumbisha
 
Vijana hawa ambao wamesambaa kila kona ya Tanzania wanadai Ikulu si mahala pa kukimbilia hata kama huna sifa.Vijana hao wanasema watabakia kuwa CHADEMA lakini kitokana na kipengele cha Uadilifu kutozingatiwa ndani ya chama chao, wao watamchagua kiongozi mwadilifu ambaye ni Dr. Magufuli.

wazalendo si wako kule ACT. !! Hao vijana nina mashaka nao na huo Uzalendo wao.
 
Ni shida mwaka huu kuna ccm wanaosema watamchagua lowasa kwa katiba yao kukiukwa so ngoma draw!
 
Vijana hawa ambao wamesambaa kila kona ya Tanzania wanadai Ikulu si mahala pa kukimbilia hata kama huna sifa.Vijana hao wanasema watabakia kuwa CHADEMA lakini kitokana na kipengele cha Uadilifu kutozingatiwa ndani ya chama chao, wao watamchagua kiongozi mwadilifu ambaye ni Dr. Magufuli.

IT masaki naona upo kazini kwelikweli, ila mumeshindwa. Sisi na lowassa tuu!
 
Vijana hawa ambao wamesambaa kila kona ya Tanzania wanadai Ikulu si mahala pa kukimbilia hata kama huna sifa.Vijana hao wanasema watabakia kuwa CHADEMA lakini kitokana na kipengele cha Uadilifu kutozingatiwa ndani ya chama chao, wao watamchagua kiongozi mwadilifu ambaye ni Dr. Magufuli.

cdm hatuna wanga kama wewe. Unawanga hadi mchana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom