Recent content by BONANJE

  1. B

    Riba ya heslb

    riba 8% na mshahara wako utakatwa 8% mpake deni liishe lote vyuo vya serikali unaweza ukadaiwa kama 14mill kwa kozi za miaka 3 eng/science kwa wengi------ tmia vizuri boom utajutaaa.source heslb.
  2. B

    Walionyimwa mkopo na heslb tujadili tufanyeje kabla ya reg.kufungwa vyuoni

    Hawa jamaa kuna watu wamewanyima mkopo kwa sababu za kitoto kabisa eti 1.kozi siyo priority wakati kuna wanafunzi wamepata mikopo bila kujali kozi za kipaumbele, 2.vilevile wamesema Tcu walikosea kuweka baadhi ya kozi ni ya kipaumbele wakati siyo ya kipaumbele 3.Budget ilifika mwisho jaribuni...
  3. B

    Hlssf yafunika 2012/2013 loan

    wapo wapya wengi tu angalia vizuri,Continues wachache sana
  4. B

    Hlssf yafunika 2012/2013 loan

    Jamaa nimewakubali,wametumia muda mchache kupanga majina na mikopo kwa wanaokizi vigezo ukilinganisha na heslb,Vile vile kumbe kuna kariba kadogo tu,kwa mliokosa heslb changamkeni muda bado.:lol:
  5. B

    Walicho tufanyia heslb! Mmm.... Hata hamu sina

    Imetuumiza sana,Ukizingatia mimi nipo priority course na nina sifa lakini hawajanipa.Nimekata tamaa yani siwezi kwenda chuo,Nipo mbinga sina matumaini ya chuo maana hata nauli kuripoti udom ni issue.Hii ndio serikali yetu bana,Wanasema eti bajeti imefika mwisho na wenye sifa wengine wamekosa...
  6. B

    No loan applicant

    tumeingia hizo ghrama zote,Buree.Heslb kuna wizi hivi pesa tulizotumia ktk application wanafunzi wote imefikia shs ngapi na imetumika kufanyia nini?Kama serikali inatoa pesa zote za kukopesha wanafunzi na uendeshaji wa heslb mamilioni tuliyochanga ya form yapo wapi Watueleze.
  7. B

    No loan applicant

    Hao nawaamini sana yani Maana kaka yangu ni mwajiriwa pale,HLSSF.
  8. B

    No loan applicant

    Huwezi anza chochote kama hujajua kama wewe ni no loan au form yako haikufika?Lazima ujue umepata mkopo au huja pata documented hapo ndipo unaaza.
  9. B

    No loan applicant

    Bodi ya mikopo iweke orodha ya NO LOAN applicant ili watu wajipange Ku appeal,haiwezekani mtu uwe na vigezo vya kupata mkopo na usikopeshwe ukizingatia bajeti imeongezwa na idadi ya walioomba ni wachache ukilinganisha na mwaka jana,Wameshaonekana ni wasanii hawa bodi ya mikopo.Mimi lazima nita...
  10. B

    Msaada wa kisheria kwa kutoridhishwa na udahili wa wanafunzi na bodi ya mikopo-elimu

    Wakuu naomba nipate msaada wa kisheria inapotokea mtu kakaosa chuo wakati anasoifa na hapewi mkopo wakati anavigezo vyote vya kupata mkopo?Wakati nimetumia gharama nyingi kufanya maombi hayo na kupoteza muda mwingi sana.Niliomba chuo kupitia Tcu,wengine sifa zinafanana wamepata.Nisaidieni jamani.
  11. B

    Wale wote mliopo kwenye previous lonees na mliokosa kabisa mkopo, mdodosaji bado nipo

    Sawa mkuu,tunakutegemea sana cc ambao tupo mbali na pembezoni mwa nchi hii kaka tujuze,mimi kama jukwaa litakuwa bixe nibip 0716640076 nijuze.
  12. B

    Equivalevt student-Heslb 2012/2013

    Hakuna jina hata moja lililoonekana kwenye list ya waliopata mkopo.hivi hawa jamaa mbona wana wanyanyapaa sana equivalent student?Au hawa waliotajwa majina yao wao walilipa zaidi ktk application?Tutaishtaki serikali kwa kutunyanyapaa.Mimi binafsi nashangaa sana kwa nini.Nisaidieni kwa...
  13. B

    TCU YATOA MAJINA YA FIRST AND SECOND SELECTION 2012/13 click here

    Watu wanaotania hili jukwaa kama hao,Wagongwe na magari wafe.
  14. B

    Tcu na vyuo kunanini

    Kama ulikuwa admitted kesho au kesho kutwa inatoka General list ya waliochaguliwa vyuoni.Kwa hiyo kuwa mvumilivu.Source TCU.
  15. B

    Tcu naona kuna mopya

    Maana CAS haingiliki tokea Saa nne mpaka saa hizi,cju kuna nini Msaada tafadhari ,maana jina langu halipo chuoni.
Back
Top Bottom